Watu 9 wafariki dunia katika ajali iliyohusisha Hiace inayopeleka Magazeti Mbeya

Kama saa 10 alfajiri alikuwa Mahenge Mbeya angefika saa 9 alasiri! Magazeti angemuuzia nani! Ni wazi aliamua kunyoosha mguu mpaka kwenye redieta.
 
Miaka ya nyuma nimepanda gari ya gazeti toka mbeya tupo kitonga dereva ananiambia nimpigishe stori usingizi usimpitie......wapumzike salama walotangulia
Weee acha hizo! Naona unakwenda kinyumenyume, gari za magazeti hutoka Dar kwenda Mbeya.
 
Kama saa 10 alfajiri alikuwa Mahenge Mbeya angefika saa 9 alasiri! Magazeti angemuuzia nani! Ni wazi aliamua kunyoosha mguu mpaka kwenye redieta.
Kutoka Dar hadi hapo Mahenge ni 413Km kama hilo gari lilitoka saa 6 usiku jamaa ametumia roughly masaa 4, na kutoka hapo Mahenge hadi Mbeya ni 403 Km saa mbili asubuhi jamaa alikua anafika Mbeya.. ila alikua spidi kali sana
 
Bado kuna watu wanapanda hizo chinja chinja wakati siku hizi kuna new force ya usiku
Sio kweli bhana New Force hana gari ya usiku,zaidi zaidi kuna coaster za hakuna kulala tu
 
Kama saa 10 alfajiri alikuwa Mahenge Mbeya angefika saa 9 alasiri! Magazeti angemuuzia nani! Ni wazi aliamua kunyoosha mguu mpaka kwenye redieta.
Iringa wanapita kuanzia saa 11 mpaka saa1 asubuhi. Mbeya saa around saa 3 hv.
 
Hiace ina mzigo wa magazeti wakutosha na bado imebeba watu 12. Na bado inaendeshwa mwendo wa kuwahi kuzimu.

Mambo mengine tunajitakiaga wenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Usinichekeshe bwana wakati habari ni ya huzuri.




Mungu awaponye majeruhi
Na azipumzishe roho za marehemu mahali pema[emoji120]
 
Weee acha hizo! Naona unakwenda kinyumenyume, gari za magazeti hutoka Dar kwenda Mbeya.
Halafu huwa hazirudi zinakaa huko huko mbeya
Kweli jamaa mwongo sana eti mbeya to dar kapanda gari ya magazeti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…