Watu 9 waripotiwa kufariki baada ya vifaa vya mawasiliano (Pager) za Hezbollah kulipuka kwa mkupuo; Balozi wa Iran nchini Lebanon aripotiwa kujeruhiwa

Watu 9 waripotiwa kufariki baada ya vifaa vya mawasiliano (Pager) za Hezbollah kulipuka kwa mkupuo; Balozi wa Iran nchini Lebanon aripotiwa kujeruhiwa

Nipe huo uhondo ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jana sikula chakula niliposikia Israel imerushiwa mabomu ngoja nilale kuku mzima kabisa😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣ISRAELLLLIIIIIII PIGA MAGAIDI HAYOOL UAAAAA😄🤣🤣🤣👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🤝🤝🤝🤝NAOMBA HIYO VIDEOO
Ungesubiri mpaka angalau upitiwe na usingizi mkuu siku Yako isije ikaharibika kabla ya asubuhi. Kisasi cha Hezbollah Huwa hakilali wameshatoa taarifa rasmi hivi ninavoongea Netanyahu anaelekea kwenye handaki lake pale Jerusalem.😂
 
Waliokuwa navyo mfukoni hawana map*mbu sasahivi. Operation katap*mbu
Yaani hii operation sio ya kitoto ! Jamaa wamewaweza kwelikweli🤣🤣
 

Attachments

  • IMG_6407.jpeg
    IMG_6407.jpeg
    95.5 KB · Views: 4
  • IMG_6408.jpeg
    IMG_6408.jpeg
    167.6 KB · Views: 3
  • IMG_6409.jpeg
    IMG_6409.jpeg
    154.4 KB · Views: 4
  • IMG_6417.jpeg
    IMG_6417.jpeg
    175.5 KB · Views: 3
  • IMG_6416.jpeg
    IMG_6416.jpeg
    185.7 KB · Views: 2
  • IMG_6415.jpeg
    IMG_6415.jpeg
    73.7 KB · Views: 3
  • IMG_6412.jpeg
    IMG_6412.jpeg
    134.6 KB · Views: 1
  • IMG_6413.jpeg
    IMG_6413.jpeg
    69.7 KB · Views: 3
  • IMG_6414.jpeg
    IMG_6414.jpeg
    208.7 KB · Views: 3
Kichapo kinaendelea. Pagers zimeleta kasheshe🤣🤣
 

Attachments

  • ssstwitter.com_1726585636425.mp4
    1.2 MB
Back
Top Bottom