Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Nimeona taarifa ya Hezbollah baada ya hili tukio aah thubutuu kama una mtu unamfahamu huko Israeli mwambie aondoke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimbia jifiche Houthis hao wanakuja mkuu ..Magaidi wamegeukana 😆😆😆
Waliokuwa navyo mfukoni hawana map*mbu sasahivi. Operation katap*mbuHii sio mchezo🤣🤣mpaka mida hii 3000+ wapo wanaugulia🤣🤣
Houth hawana jipya. Wanaishia kuchoma misitu tu. Ndio uwezo waoKimbia jifiche Houthis hao wanakuja mkuu ..
Ungesubiri mpaka angalau upitiwe na usingizi mkuu siku Yako isije ikaharibika kabla ya asubuhi. Kisasi cha Hezbollah Huwa hakilali wameshatoa taarifa rasmi hivi ninavoongea Netanyahu anaelekea kwenye handaki lake pale Jerusalem.😂Nipe huo uhondo ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jana sikula chakula niliposikia Israel imerushiwa mabomu ngoja nilale kuku mzima kabisa😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣ISRAELLLLIIIIIII PIGA MAGAIDI HAYOOL UAAAAA😄🤣🤣🤣👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🤝🤝🤝🤝NAOMBA HIYO VIDEOO
Jana wamewatanguliza mashoga 9 mbinguni kwa baba.Houth hawana jipya. Wanaishia kuchoma misitu tu. Ndio uwezo wao
Wewe umejuaje kama anaficha taarifa?Wewe uliona wapi Hezbollah akificha taarifa? Hezbollah wanatangaza na picha za waliokufa wanaweka mtandaoni. Israeli anaficha ili kulinda asipatw aibu huku watu wanakufa
Yaani zaidi ya 3000 viuono vyao nyanganyanga- maana pager zinavaliwa kiunoniLink mkuu
Weka link. Sio unabwabwaja tuJana wamewatanguliza mashoga 9 mbinguni kwa baba.
Kwa mipasho hamjambo hivi Iran alishalipiza kifo cha Haniyah au bado anajipanga?Nimeona taarifa ya Hezbollah baada ya hili tukio aah thubutuu kama una mtu unamfahamu huko Israeli mwambie aondoke.
Iran katulia vijana wake si unauona moto wao? Hezbollah hawapoi na Houth wamoto Bado mnataka na baba lao aingie?Kwa mipasho hamjambo hivi Iran alishalipiza kifo cha Haniyah au bado anajipanga?
Wanasema awatoweza kuzaa tena na pia watakuwa benji kwa muda mrefu sana😭 na hospital zitaishiwa ant bioticsWaliokuwa navyo mfukoni hawana map*mbu sasahivi. Operation katap*mbu
Vyombo vyao vya habari vinasema.Wewe umejuaje kama anaficha taarifa?
Jitu zima unashindwa kufuatilia taarifa mpaka ubustiwe?Weka link. Sio unabwabwaja tu
Vinasemaje? Toa video na picha. Sisi tunazo picha vichaka vikiwa vimeharibiwa nyasi na kombola la "kisasa" la Houthi.Vyombo vyao vya habari vinasema.
Vyombo vipi vya habari?!Vyombo vyao vya habari vinasema.
Weka link. Maneno Mengi ya nini?!Jitu zima unashindwa kufuatilia taarifa mpaka ubustiwe?
Yaani hii operation sio ya kitoto ! Jamaa wamewaweza kwelikweli🤣🤣Waliokuwa navyo mfukoni hawana map*mbu sasahivi. Operation katap*mbu