de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 2,044
- 4,558
meghan markle njoo usome mambo yenu huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila akili zako🤣🤣🤣Tanga hatari mkuu usicheze na tanga unanyolewa na kisosa
Mkanda unavuliwa na meno
Unaogeshwa maji ya Iliki unakua unanukia maandazi
Ajabu mwanaume unalalamika vipi kumhudumia mke wako? Wenzake wanatafuta bahati kama hizo, wengi siku hizi utakuta anambania mume wake anaenda kugawa kwa mtu anayempenda, wanawake kama hakupendi hasikii hamu na weweMwambie anipe mimi tu, nimrudijie gharama zake za mahari.
Hawezi elewa, kama amechoka(pumzi zake kisoda) sisi tunamuomba "SUB" aje benchi atupishe na sie "tusakate kabumbu"Ajabu mwanaume unalalamika vipi kumhudumia mke wako? Wenzake wanatafuta bahati kama hizo, wengi siku hizi utakuta anambania mume wake anaenda kugawa kwa mtu anayempenda, wanawake kama hakupendi hasikii hamu na wewe
Ati otikiii🤣🤣👇👇
View attachment 2991777
stupid, alisema mamaAti otikiii🤣🤣👇👇
View attachment 2991777
Anakandia mbupu au sioOya tanga noma, oya yule demu alikua anakuja na kisosi vile vya kuwekea kikombe cha chai bafuni msiniulize cha nini oyaa nyie.
Mtoto Fetty popote ulipo, I miss you.
Uongo huo.Tanga hatari mkuu usicheze na tanga unanyolewa na kisosa
Mkanda unavuliwa na meno
Unaogeshwa maji ya Iliki unakua unanukia maandazi
Everywhere bro 😂
Fisi hamkai mbali😂😂Mwambie anipe mimi tu, nimrudijie gharama zake za mahari.
Acha ujinga ww msukuma gani analia lia kisa kupewa unyumba ...Ww hata sio mwalim wala msukuma umeamua tu kujipa usukuma ...👺
Niambie myIla akili zako🤣🤣🤣
Acha ni deal na wapwa wenzangu mkuuSana sana tena sana tuu...
Naona kule intelligence haupo haupo sana Mkuu au ndo majukumu....
Namuelewa. Kuna muda tunatamani sana kutazamana tu na ninyi sasa simu ndo huwa inaharibu kwakweli.Wife anambia anatamani jf ifungwe maana ANAONA nimekua busy NAYO 😊😊
Ujinga tuAti otikiii🤣🤣👇👇
View attachment 2991777
Oyaa wanawake wa tanga🙌😀Anakandia mbupu au sio
Ngoja nipunguze Basi 😊Namuelewa. Kuna muda tunatamani sana kutazamana tu na ninyi sasa simu ndo huwa inaharibu kwakweli.
Yeah kila kitu kwa kiasi....vipi mguu?Ngoja nipunguze Basi 😊