Watu ambao mmeoa Tanga mtupe majibu hapa hii je ni kweli

Kuna mzee wa kichaga alikwenda huko kikazi hakurudi......kila mwaka ukoo unatuma watu wanamrudisha migombani krismasi....ikifika January anatoroka......[emoji2957]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamba mzee alizamia
 
Kuna mzee wa kichaga alikwenda huko kikazi hakurudi......kila mwaka ukoo unatuma watu wanamrudisha migombani krismasi....ikifika January anatoroka......🤪
Nacheka kama mazuri , mbona kama nafahamu huyu meku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…