Watu gani watatu mashuhuri unaweza ukatundika picha zao ukutani kwako?

Anza na Nyerere wa nyumbani hapa hapa
 
Wewe nimekukubali wabongo wengi tuna ulimbukeni wa kuwa heroes kutoka nje tunawasahau our real heroes and legends.

Sijui kwa sababu historia zao zeandikwa kwa kiingereza na hollywood wamezi adapt[emoji23][emoji23][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…