Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Heee hadi Lumumba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sepenga

[Color= yellow]Triple A[/color]
 

Sasa hao ni maarufu duniani?

Sema Yesu aka Jesus.
 
Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Shikamoo Bibi
 
Hahahhhh anao bana thie wenzio twafahamu
Ni kweli 1 ni wa yule jamaa mkarandasi ni mjeuri aiseee na mwingine ni wa yule injinia yeye akajazia masikio anajidai wa kwake. Jamaa towashi km lipumbafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…