Heee hadi Lumumba?1. J. Edgar Hoover - Alikuwa Mkurugenzi wa kwanza wa FBI
2.Marilyn Monroe - Mrembo matata wa miaka ya 1950'a
3. Dr. Hasting Kamuzu Banda - Rais wa Kwanza wa Malawi.
4.Jenerali James Mattis - Waziri wa Ulinzi wa sasa wa Marekani.
5.Patrice Lumumba - Waziri Mkuu wa zamani wa Kongo.
Asa mbona inasemekana alikuwa na watoto hamsini?Ni muda mrefu alikuja rais Sekuture na mama Sekoture wote wanavaa nguo nyeupe na walipata mtoto wa kuasili
Chaaaaa!Bashite hana mtoto toka alipofunga ndoa miaka 6 iliyopita.. Hata za kupandikiza zinachoropoka..
Ndio maana yupo kama kichaa.
Tujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani.
Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya Bongo. Naanza na hawa:
1. Kamuzu Banda - Rais wa kwanza Malawi
2. Omar Al Bashir - Rais wa Sudan
3. Steven Kanumba
Unaweza ukaendelea na wewe...
Siyo kweli hitler alikua ajawahi kucheka ila alikuja kucheka pindi anapo mchinja mtoto wake,,..
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu, like lilikuwa zali kutoka Msimbazi Centre kwenda Ikulu kama mtoto wa rais[/QUOTE]Alikuja kurudi bongo ukubwani. Alikua daktari Wa binadamu. Nadhani Dr.You're alistaafia Arusha
Hao wote wamefariki??1. Dolly Parton
2. George Clooney
3. Janet Jackson
4. Condoleezza Rice
5. Cameron Diaz
6. Oprah Winfrey
7. Jay Leno
8. Tyra Banks
9. Queen Latifah
10. Jennifer Aniston
11. Mickey Rourke
Shikamoo BibiRais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Hastings Kamuzu Banda alkua na watoto 3....no research no right 2 speak!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sio chai hii?Inaaminika Adolf Hilter alikuwa na watoto wawili. Aliwaona hawatakuwa jasiri km yeye akawaua
Anae mtoto anaitwa Careen, alikuwa na mke kabla ya Jide
Ni kweli 1 ni wa yule jamaa mkarandasi ni mjeuri aiseee na mwingine ni wa yule injinia yeye akajazia masikio anajidai wa kwake. Jamaa towashi km lipumbafuHahahhhh anao bana thie wenzio twafahamu
Janet jackson kapata mtoto juzijuzi licha ya uzee1. Dolly Parton
2. George Clooney
3. Janet Jackson
4. Condoleezza Rice
5. Cameron Diaz
6. Oprah Winfrey
7. Jay Leno
8. Tyra Banks
9. Queen Latifah
10. Jennifer Aniston
11. Mickey Rourke