Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

HARUFU.jpgHARUFU B.jpeg
 
"Hafi Mtu Ila Kwa Kauli Yake Muumba Aliyewaumba Tu"... Wangapi Wanatumia Drugs Wanaacha Na Wanapona?

Wangapi Wanapigwa Risasi Wanapona?

Wangapi Wanajiuwa Hawafi? Msiangalie Tu Sababu Za Vifo Vyao Kujilinda Kwamba Hivi Ndio vinavyotuuwa Hata Ukivisuia Vyote Utakufa Tu.... Inapofika Time Utaondoka Tu Question Is?? Ile Time Yako Imekukuta Unafanya NINI basi ndio sababu ya vifo...

E.g: Mtu Anakufa Amekaa.... mtu anakufa haieweki jibu ni time...


Wewe Unaesema Mtume Amekufa Na Ukimwi...

kasome historia Ya Ukimwi Kwanza Halafu Ndio Uje Hapa Utapike Uzushi Si Bure Yaelekea Ni Mtoto Mdogo Umeiba Simu Ya Mama Yako Unaanza Kutikisa Humu...


"Rakims"
 
mkuu ni kupongeze kwa uchangiaji wako... HARUFU
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom