mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Osama bin Laden
Mullah Omary.
Nikubaliane nawe Osama ilikuwa Damu changa ambayo Dunia bado ilimuhitaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Osama bin Laden
Mullah Omary.
Nikubaliane nawe Osama ilikuwa Damu changa ambayo Dunia bado ilimuhitaji
sharo milionea
langa
mangwair
geez mabovu
kanumba
Sredi imewekwa(ipo) kwa ajili yetu sisi wote(sote) sasa ikiwa unaona hajawaweka wa TZ wewe mwenye data ndio uweke sasahata mm nilifikiri hatawataja hawa wa tz yeye kawataja wa nje anafikiria nini huyu mkuu
Sredi imewekwa(ipo) kwa ajili yetu sisi wote(sote) sasa ikiwa unaona hajawaweka wa TZ wewe mwenye data ndio uweke sasa
Mimi nataka uweke wewe mtu wangu.washaawekwa bestito hapo juu
mimi nataka uweke wewe mtu wangu.
Embu weka bana, hata mmoja
Murrah Ommmmmar el Mwanaume!
Ni mzima
Mnamo April 28 1993, Kikosi cha ZAMBIA cha mpira wa miguu kilipoteza wachezaji wake wote(isipokuwa Kalusha Bwalya) ambae hakuwa safarini siku hiyo kwa ajali ya ndege iliyoanguka nchini Gabon wakiwa safarini kuelekea Senegal kuchuana na Senegal katika kinyang'anyiro cha kupigania kuingia mashindano ya kombe la dunia mwaka 1994.
Waliopoteza maisha ni kama ifuatavyo hapo chini:-
1. John Soko (defender)
2. Whiteson Changwe (defender)
3. Robert Watiyakeni (defender)
4. Eston Mulenga (midfielder)
5. Derby Makinka (midfielder)
6. Moses Chikwalakwala (midfielder)
7. Wisdom Mumba Chansa (midfielder)
8. Kelvin "Malaza" Mutale (striker)
9. Timothy Mwitwa (striker)
10. Numba Mwila (midfielder)
11. Richard Mwanza (goalkeeper)
12. Samuel Chomba (defender)
13. Moses Masuwa (striker)
14. Kenan Simambe (defender)
15. Godfrey Kangwa (midfielder)
16. Winter Mumba (defender)
17. Patrick "Bomber" Banda (striker)
18 & 19. The two coaches: Godfrey Chitalu and Alex Chola
Nilisikia enzi hizo kuwa huyu mwanamuziki alikufa kwa kwa AIDS. Na nadhani wanamuziki wengi kipindi kile walicharangwa na AIDS. Mwana kufa ni kufa tu.
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, kulikua na mfululizo wa makala flani ktk gazeti moja la kiswahili ambalo mwanamama mmoja mjane wa Maneti alikua akitoa simulizi za mapambno yake na virusi vya HIV ambavyo amekua navyo tangu miaka 80, watz tuache unafiki na kufichaficha mambo.