Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

kanumbap
sharobaro mil
ngwea
sajuki
aisha madinda
langa
jiz mabovu
Yp
 
hata mm nilifikiri hatawataja hawa wa tz yeye kawataja wa nje anafikiria nini huyu mkuu
Sredi imewekwa(ipo) kwa ajili yetu sisi wote(sote) sasa ikiwa unaona hajawaweka wa TZ wewe mwenye data ndio uweke sasa
 
Abu Musab al-Zarqawi (Arabic: أبومصعب الزرقاوي‎, About this sound pronunciation Abū Muṣab az-Zarqāwī, Abu Musab from Zarqa); October 30, 1966 June 7, 2006), born Ahmad Fadeel al-Nazal al-Khalayleh (Arabic: أحمد فضيل النزال الخلايله‎, Aḥmad Faḍīl an-Nazāl al-Ḫalāyla) was a militant Islamist from Jordan who ran a paramilitary training camp in Afghanistan. He became known after going to Iraq and being responsible for a series of bombings, beheadings, and attacks during the Iraq War.

He formed al-Tawhid wal-Jihad in the 1990s, and led it until his death in June 2006. Zarqawi took responsibility, on several audio and video recordings, for numerous acts of violence in Iraq including suicide bombings and hostage executions. Zarqawi opposed the presence of US and Western military forces in the Islamic world, as well as the West's support for the existence of Israel. In late 2004 he joined al-Qaeda, and pledged allegiance to Osama bin Laden. After this al-Tawhid wal-Jihad became known as Tanzim Qaidat al-Jihad fi Bilad al-Rafidayn, also known as al-Qaeda in Iraq (AQI), and al-Zarqawi was given the al-Qaeda title, "Emir of Al Qaeda in the Country of Two Rivers".[1]

In September 2005, he declared "all-out war" on Shi'ites in Iraq, after the Iraqi government offensive on insurgents in the Sunni town of Tal Afar.[2] He dispatched numerous suicide bombers throughout Iraq to attack American soldiers and areas with large concentrations of Shia militias. He is also thought to be responsible for the 2005 bombing of three hotels in Amman, Jordan.[3] Zarqawi was killed in a targeted killing by a Joint US force on June 7, 2006, while attending a meeting in an isolated safehouse approximately 8 km (5.0 mi) north of Baqubah. One United States Air Force F-16C jet dropped two 500-pound (230 kg) guided bombs on the safehouse.[4]
 
Mnamo April 28 1993, Kikosi cha ZAMBIA cha mpira wa miguu kilipoteza wachezaji wake wote(isipokuwa Kalusha Bwalya) ambae hakuwa safarini siku hiyo kwa ajali ya ndege iliyoanguka nchini Gabon wakiwa safarini kuelekea Senegal kuchuana na Senegal katika kinyang'anyiro cha kupigania kuingia mashindano ya kombe la dunia mwaka 1994.

Waliopoteza maisha ni kama ifuatavyo hapo chini:-

1. John Soko (defender)

2. Whiteson Changwe (defender)

3. Robert Watiyakeni (defender)

4. Eston Mulenga (midfielder)

5. Derby Makinka (midfielder)

6. Moses Chikwalakwala (midfielder)

7. Wisdom Mumba Chansa (midfielder)

8. Kelvin "Malaza" Mutale (striker)

9. Timothy Mwitwa (striker)

10. Numba Mwila (midfielder)

11. Richard Mwanza (goalkeeper)

12. Samuel Chomba (defender)

13. Moses Masuwa (striker)

14. Kenan Simambe (defender)

15. Godfrey Kangwa (midfielder)

16. Winter Mumba (defender)

17. Patrick "Bomber" Banda (striker)

18 & 19. The two coaches: Godfrey Chitalu and Alex Chola
 
Mnamo April 28 1993, Kikosi cha ZAMBIA cha mpira wa miguu kilipoteza wachezaji wake wote(isipokuwa Kalusha Bwalya) ambae hakuwa safarini siku hiyo kwa ajali ya ndege iliyoanguka nchini Gabon wakiwa safarini kuelekea Senegal kuchuana na Senegal katika kinyang'anyiro cha kupigania kuingia mashindano ya kombe la dunia mwaka 1994.

Waliopoteza maisha ni kama ifuatavyo hapo chini:-

1. John Soko (defender)

2. Whiteson Changwe (defender)

3. Robert Watiyakeni (defender)

4. Eston Mulenga (midfielder)

5. Derby Makinka (midfielder)

6. Moses Chikwalakwala (midfielder)

7. Wisdom Mumba Chansa (midfielder)

8. Kelvin "Malaza" Mutale (striker)

9. Timothy Mwitwa (striker)

10. Numba Mwila (midfielder)

11. Richard Mwanza (goalkeeper)

12. Samuel Chomba (defender)

13. Moses Masuwa (striker)

14. Kenan Simambe (defender)

15. Godfrey Kangwa (midfielder)

16. Winter Mumba (defender)

17. Patrick "Bomber" Banda (striker)

18 & 19. The two coaches: Godfrey Chitalu and Alex Chola

hakika ilikuwa ni golden generation itakayokumbukwa kwa miaka mingi sana. Wapumzike kwa aman
 
Nilisikia enzi hizo kuwa huyu mwanamuziki alikufa kwa kwa AIDS. Na nadhani wanamuziki wengi kipindi kile walicharangwa na AIDS. Mwana kufa ni kufa tu.
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, kulikua na mfululizo wa makala flani ktk gazeti moja la kiswahili ambalo mwanamama mmoja mjane wa Maneti alikua akitoa simulizi za mapambno yake na virusi vya HIV ambavyo amekua navyo tangu miaka 80, watz tuache unafiki na kufichaficha mambo.

Ilikuwa gazeti la Mwananchi,na alicho'akikieleza ktk zile makala zake sio kuishi na HIV ila jinsi alivyonyanyapaliwa na watu wakisema kwamba ameathirika na HIV kumbe sivyo,pia akisimulia jinsi alivyokutana na Manet,wakazaa mtoto mmoja wa kike Secilia,manet akafariki akiwa 35 yrs old baada ya hapo akaja kuzaa na mwarabu mtoto mwengine wa kike,sipo hapa kutetea kilichomuua Manet coz kibongo bongo hata wew mkuu Abdulhalim ikatokea leo ukakonda then ukafa kwa sukari kila akujuae hata wasiokujua watasema wanalojua wao,ooh kafa kwa HIV,mwingine utamasikia "mke wa mpemba huyo mpemba kamsomea kamtupia jini"kumbe waala umepata tu maradhi ya dunia yamekuondoa,sasa hawa wasiokujua ndio wabaya ambao ndio sisi humu mitandaoni,sisi tuliobaki ndio tujiulize mwisho wa safari yetu utakuwajee?tutamsema marehem Fulani amekufa kwa HIV but ninani aijuae kesho yake???!!!na siye tukiupata unajua tutakavyojisikia vibaya kuyahisi yale tunayoamini raia wanatuzungumzia,sio vizuri mkuu tubadilike,sure!!!
 
Last edited by a moderator:
HARUFU.jpegHARUFU A.jpegHARUFU B.jpeg
 
Back
Top Bottom