Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50


ni kweli mkuu, kibongo bongo tunachukulia kawaida sana
 

Jamaa aliyekuwa anamchukua anaitwa dodi al-fayeed kama sikosei baba ake alikuwa mmiliki wa fulham miaka hiyo!!
 
Rehema Mwakangale
Amina Mongi
Mwanachia
 
Famous People Killed By The Illuminati



 
Last edited by a moderator:
Mzizimkavu uengelezea kidogo hii clips nadhani ingenoga sana na tuungelimika
 
Princess Diana alikufa mjini Paris Ufaransa kwenye tunnel (barabara ipitayo chini ya ardhi) baada ya kugonga vijiguzo vinavyokinga ukuta.
Alikuwa na boyfriend wake Mohammed "Dodi" Al Fayed, mwarabu wa Misri

Mkuu Mohammed ni jina la baba yake.. Yeye alijulikana kwa majina ya Emad El-Din Mohammed Abdel Moneim Fayed au kwa jina maarufu Dodi Fayed.. Baba yake ni tajiri maarufu aliekuwa anamiliki klabu ya Fulham mpaka mwaka jana alipoiuza..

Mpaka leo anaamini kuuawa kwa mwanae ni conspiracy kati ya royal family na M16..
 
Hongera yako,haya wewe umefanya nini mwenzetu kabla ya hyo miaka hamsini hyo!!
 
mkuu acha utani kwenye kifo walioimba kwetu pazuri wanajua waliyopata baada ya kuimba ule wimbo

Nini limewasibu mkuu kill? Fafanua kidogo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…