Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuuh hamna mbongo
ngwair,sharo,kanumba,langa,aisha madinda.......
kanumba. ngwea. mez b..aisha madinda.. amina japanise..nisaidien wengine.
9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiillngiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho
Mie kuna kibao chake yupo na Kool G Rap, kingine yupo na Remy Martin(yule mlimbwende) wa kundi la Terror Squad chini ya baba yao Fat Joe na nyingine Holding it down, Flamboyant, The big picture iliobeba Album na kuna ngoma yake moja kwa upande wangu naikubali sana yuko na Tupac ya kutiwa Deadly combination, na kuna nyingine Work part 2 nayo naikubali sana yupo na GuruNakumbuka ngoma yake ya" put it on" miaka hiyo