Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho
Jamaa akikuwa anaitwa dodi...alikuwa tajiri mmoja pale paris
 
Imran Kumbe
Alifariki kwa kupigwa risasi na watu wanao hisiwa ni majambazi
 
These Rappers
Yaki Kadaffi(outlawz immortal member also Pac's little brother)-shot to death
Hussein Fatal(outlaw immortal member)-car accident
Left Eye-car accident
Pimp C one half of UGK-shot
Faza Nelly X-plastaz-stabbed
Notorious BIG-driveby shooting
Big L-driveby shooting
Big Pun-overweight
Dolla-shot
Proof-shot
Sean price
MC breed
J Dilla(was a producer)
Johnny J (2pac's producer)-suicide (he was murdered but made look like suicide)
GURU-Cancer
Capital steez-suicide
Heavy D
Na muimba reggae mmoja anaitwa Senzo.
Dah kulikua na jamaa anaitwa John Mjema mzee wa wachumba 30.
 
Back
Top Bottom