Watu maarufu duniani wenye asili ya Tanzania

Watu maarufu duniani wenye asili ya Tanzania

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Nasikia director mpya wa FBI ana asili ya Tanzania. Ndugu yetu kabisa🙂. Ni watu gani wengine maarufu wana asili ya Tanzania.

1. Freddie Mercury. Alikuwa muimbaji wa bendi ya muziki ya Queen. Ukitaja waimbaji kumi wa muda wote duniani huwezi kumkosa. Alizaliwa Zanzibar mwaka 1946. Alikuwa upinde na alifariki kwa ngoma 1991. Ni moja ya watu waliochangia sana Zanzibar na Tz kusikika. Hata watu hutembelea nyumba aliyozaliwa.
1740304137029.jpeg


2. . . .
 
Inawezekana zamani ndiyo ilikuwa balaa kabisa. Kuna jamaa wa Sodoma walitaka kumbaka mgeni wa Luthu. Miaka 2000 kabla ya Yesu kuzaliwa, yaani miaka 4,000 iliyopita.
Naaam kabisa kabisa hizi ishu zilikuwepo sana lkn siku hz kinachofanya ionekane kwa urahisi ni teknolojia hasa ya simu na mitandao yake hivyo wako huru,


Na kingine ni ile issue ya NGO's zao kuanzishwa na wao kuona ni wakati wa kutojificha!


Mungu atunusuru
 
Nasikia director mpya wa FBI ana asili ya Tanzania. Ndugu yetu kabisa🙂. Ni watu gani wengine maarufu wana asili ya Tanzania.

1. Freddie Mercury. Alikuwa muimbaji wa bendi ya muziki ya Queen. Ukitaja waimbaji kumi wa muda wote duniani huwezi kumkosa. Alizaliwa Zanzibar mwaka 1946. Alikuwa upinde na alifariki kwa ngoma 1991. Ni moja ya watu waliochangia sana Zanzibar na Tz kusikika. Hata watu hutembelea nyumba aliyozaliwa.
View attachment 3246285

2. . . .
Huyu jamaa nakubali ile nyimbo yake ya "HAVING A GOOD TIME"
 
Back
Top Bottom