Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Si ndugu kwa nanmna yoyote ile, hamna document yoyote inayodhibitisha hilo.Hao ni ndugu zetu kabisa. Mtu anajipendekezaje kwa nduguye!?
Acheni kujipendekeza kwa watu waliofanikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndugu kwa nanmna yoyote ile, hamna document yoyote inayodhibitisha hilo.Hao ni ndugu zetu kabisa. Mtu anajipendekezaje kwa nduguye!?
Asili yao ya Tanzania ndiyo inafanya tuwe ndugu. Kuwakataa ndugu sababu wamefanikiwa nao ni ubaguzi.Si ndugu kwa nanmna yoyote ile, hamna document yoyote inayodhibitisha hilo.
Acheni kujipendekeza kwa watu waliofanikiwa
Hamna asili yao , hamna document inadhibitisha asili yao, sasa unampakazia mtu ili iweje? Kabla ya kufanikiwa kwao ukiwafahamu?Asili yao ya Tanzania ndiyo inafanya tuwe ndugu. Kuwakataa ndugu sababu wamefanikiwa nao ni ubaguzi.
Ndugu yetu.Yupo mndengereko anaimba rege Cambodia anaitwa Mzuzuri Mpendu.
Ni ndugu yenu bwana Farouk BulisaraHapo kwenye upinde inatosha kumkana kwamba sio ndugu yetu.
Ok hongera usiye zwazwaKwahiyo unataka kusema ulikuwepo toka zamani ndio vijana wa sasa waruhusiwe acha uzwazwa ni kweli ulikuwepo toka zamani lkn haujaachwa kukemewa toka enzi hizo kuanzia vitabu vya dini mitume, manabii, viongozi wa dini pamoja na waungwana wa kawaida
Wanini Sasa.Unaogopa kuambukizwa?
Rachel Lutrell2. Rachel Lutrell. Muigizaji. Huyu ndugu yetu sana tu. Msambaa kazaliwa Dar.
View attachment 3246291
Kuna documents zinathibitisha wamezaliwa Tanzania. Mafanikio yasitutenganishe.Hamna asili yao , hamna document inadhibitisha asili yao, sasa unampakazia mtu ili iweje? Kabla ya kufanikiwa kwao ukiwafahamu?
Ziko wapi hizo documentKuna documents zinathibitisha wamezaliwa Tanzania. Mafanikio yasitutenganishe.
Nasikia ni upindeIle muvi ya spartucus scripts manager ni mjomba wangu kabisa ametokea kanda ya ziwa. Akikubali nitaweka picha kakabisa.
Madai yake Kash patel (FBI director)kuwa mama yake ndo ana asili ya Tanzania ila babaake ni mhindiUyo wa FBI ana asili ya kabila Gani uko Tanzania 🙄
Kuanza kumtambulisha shoga kama ndugu yetu kunaelezea mazito sana kuhusu mleta nada
Madai yake Kash patel (FBI director)kuwa mama yake ndo ana asili ya Tanzania ila babaake ni mhindi