History-Victory
JF-Expert Member
- Sep 11, 2021
- 326
- 733
Duh aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani katika wote hao, huyu mama ndiye anayenigusa haswaa.......km siamini hiviiiiMama Anna Mngwilla
Sikua na taarifa kuhusu kifo cha jaji RamadhanMaalim Seif
Prof Baregu
Jaji Ramadhan
Professor Joseph Anthony Kilewo.Wadau Mwaka 2021 umekua na majonzi na mambo mengi, tumbushane watu maarufu waliotutoka mwaka 2021
1. JPM
2. Bakari Mwakapachu
3. Prof Mathew Luhanga
4. Zakaria Hanspope
5. Asas
6. Haruni Zakaria
7. Summry
8. ....
Dr. Anna Elisha MgwiraMama Anna Mngwilla
Pole mno. Mungu akufariji na familia yako.My dad
Hata kama sikuwa WA itikadi yake lakini kupoteza Rais haikuwa poa.Mwaka 2021 ulijaa majonzi na masikitiko makubwa.
🙄🙄🙄Manara
Usimveshe kilemba cha ukoka Baba yake ni mtu mihimu sana kwake lakini sio maarufu.Pole sana, hakuna mtu maarufu kwako zaidi ya wazazi wako.
Balozi Agustino Mahiga pamoja na Jaji Agustino Ramadhani vifo vyao vilifuatana, na wote walifariki 2020 na sio 2021.Balizi Augustino Mahiga