Watu maarufu Tanzania waliotutoka mwaka huu 2021

Watu maarufu Tanzania waliotutoka mwaka huu 2021

Yaani suala la kifo ni hatari

Siku ukifa vitu ambavyo vitakuwa vinazinduliwa

●iphone 23
●window 15
●Tecno kali never seen
●laptop kali high base score
●SamsunG high path security

Watu watakimbilia kununua lakini wewe ushakufa na habari yako imeisha

RIP. JOSEPH POMBE
Jamaa inaonesha unapenda electronics gadgets sana
 
Dah.

Kuna Bro amefariki mwaka huu mpaka Dakika hii bado sijaamini kwamba kaondoka aisee.

Kifo kweli hakina huruma.
 
Jaji Harold Nsekela

Senior Advocate George Kilindu

Jaji Samuel Karua
 
Back
Top Bottom