Watu maarufu Tanzania waliotutoka mwaka huu 2021

Watu maarufu Tanzania waliotutoka mwaka huu 2021

Wadau Mwaka 2021 umekua na majonzi na mambo mengi, tumbushane watu maarufu waliotutoka mwaka 2021

1. JPM
2. Bakari Mwakapachu
3. Prof Mathew Luhanga
4. Zakaria Hanspope
5. Asas
6. Haruni Zakaria
7. Summry
8. ....
Slowslow Mr KY
 
Magu Magu magumashi mpiga drums mashuhuri wa bendi mbalimbali enzi zake
 
Wadau Mwaka 2021 umekua na majonzi na mambo mengi, tumbushane watu maarufu waliotutoka mwaka 2021

1. JPM
2. Bakari Mwakapachu
3. Prof Mathew Luhanga
4. Zakaria Hanspope
5. Asas
6. Haruni Zakaria
7. Summry
8. ....
Hivi JPM kumbe amefariki mwaka huu. Nilishamsahau kitambo.
 
Back
Top Bottom