Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuuMy dad
Kosa moja kubwa lakini ni ukweli ni pale ulilojihusisha na Jiwe aka kichaa/muuajiWadau Mwaka 2021 umekua na majonzi na mambo mengi, tumbushane watu maarufu waliotutoka mwaka 2021
1. JPM
2. Bakari Mwakapachu
3. Prof Mathew Luhanga
4. Zakaria Hanspope
5. Asas
6. Haruni Zakaria
7. Summry
8. ....
Hata aliko afe tenaHata kama sikuwa WA itikadi yake lakini kupoteza Rais haikuwa poa.
Nili poteza wazazi wangu wawili 2021, kwa kupishana miezi minne tu, kifo cha mama asikuambie mtu loh paka leo na muona.Wadau Mwaka 2021 umekua na majonzi na mambo mengi, tumbushane watu maarufu waliotutoka mwaka 2021
1. JPM
2. Bakari Mwakapachu
3. Prof Mathew Luhanga
4. Zakaria Hanspope
5. Asas
6. Haruni Zakaria
7. Summry
8. ....
Eeh aisee R I PYaani katika wote hao, huyu mama ndiye anayenigusa haswaa.......km siamini hiviiii
Lilikuwa pigo kwa JF, pumzika binamuWarumi [emoji22]
Ahsante amiin piaPole sana Mungu awape faraja familia nzima
My dad
I’m sorry, I know the feeling.My daddy too[emoji24][emoji24][emoji24]
Ok, utaishi milele
je 2022 mnajua itakuwajeMwaka 2021 ulijaa majonzi na masikitiko makubwa.
Tunamuomba Mungu atupunguzie adhabu kwa kupiga magoti na kusali.je 2022 mnajua itakuwaje
kabisa mkuu maana yajayo yanasikitishaTunamuomba Mungu atupunguzie adhabu kwa kupiga magoti na kusali.
Kifo kilichoniuma zaidi huu mwaka,bado siamini kwamba hayupo japo hata sura yake siifahamuWarumi [emoji22]
Covid-19 imebeba watu wengi mashuhuri nchini Tanzania 2021. Msimsahau mbunge na mama mchungaji Rwakatale