Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] aliwakosea nini ha ha ha wabongo jamaniMbagala alipigishwa show bure na akazomewa, yeye na Zuchu wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] aliwakosea nini ha ha ha wabongo jamaniMbagala alipigishwa show bure na akazomewa, yeye na Zuchu wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbagala alipigishwa show bure na akazomewa, yeye na Zuchu wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Domokayaaa ana kisiwa kipii?? Cha madalee au? Alete [emoji3575] kwani, maana toka atuahidi hadi leo hata tairi hatuoni.cocastic hebu njoo utuambie ukweli wa hii habari
Yaani duniani kuna mambo unakuta Proffessor Lofa Diamond na uchizi wake bilioneaMtandao wa Africa facts zone umeripoti kuwa Msanii Diamond Platnumz (Simba) kumiliki nyumba 11, hoteli, TV station pamoja na radio station pia kisiwa chenye thamani ya zaidi ya bilioni 1.8.
View attachment 2640927
Pia Afrika Face Zone wameripoti kuwa Diamond Platnumz huwa analipwa zaidi ya milioni 236 kwa show moja, huku akiingiza zaidi ya milioni 70 kwa mwezi kupitia endorsements.
Itakuwa mwananyamala kisiwaniMtandao wa Africa facts zone umeripoti kuwa Msanii Diamond Platnumz (Simba) kumiliki nyumba 11, hoteli, TV station pamoja na radio station pia kisiwa chenye thamani ya zaidi ya bilioni 1.8.
View attachment 2640927
Pia Afrika Face Zone wameripoti kuwa Diamond Platnumz huwa analipwa zaidi ya milioni 236 kwa show moja, huku akiingiza zaidi ya milioni 70 kwa mwezi kupitia endorsements.
Bila shaka hii ndio ID ya JD humu JF.HAO WASANII WENU HAWANA FEDHA MSIDANGANYWE.
MBONA MNAKUWA WAPUMBAVU KIASI HICHO??????
HIVI MTU MWENYE HELA
1. Kwanini asijenge hata hotel ya Nyota tatu au Tano Dar es salaam.
2. Kwanini Asiwe hata na kumbi za starehe au night KLABU Dar se salaam au hata kuwa na branch mikoani.
3. Kwanini Asiwe hata na maji, Biscuit karanga etc.
4. Kwanini Asiwe na mashamba estate tukaziona????
5. KWANINI ASIWE NA UWEKEZAJI WOWOTE NA KUUTANGAZA BIASHARA ZAKE.
Mimi miradi ya JD naijua
JD ndio msanii mwenye Fedha na UWEKEZAJI zaidi Tanzania.
DIAMOND KARANGA TU ZILIMSHINDA.
FICHENI UJINGA.
WAPELEKENI WATOTO WENU SHULE.
HUYO MSANII WENU NI KAPUKU.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Domokayaaa ana kisiwa kipii?? Cha madalee au? Alete [emoji3575] kwani, maana toka atuahidi hadi leo hata tairi hatuoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayo ya kuwa na fedha au kutokuwa na fedha ni ngum kuthibitisha,hzo list za biashara au uwekezaji ulizotaja sio lazima mtu apitie humo peke yake.Sio kila mtu anaona hotel au real estate ni biashara nzuri kama unavyoona wewe.Beside wengine wanaogopa hzo biashara za kivivu zenye initial cost kubwa kama real estate.Mbona ana hyo wasafi bet na ni kubwa tu,hzo radio na tv we unaona sio uwekezaji?,hata huo mziki wenyewe si ni biashara pia,au unataka afanye unazoziona wewe.HAO WASANII WENU HAWANA FEDHA MSIDANGANYWE.
MBONA MNAKUWA WAPUMBAVU KIASI HICHO??????
HIVI MTU MWENYE HELA
1. Kwanini asijenge hata hotel ya Nyota tatu au Tano Dar es salaam.
2. Kwanini Asiwe hata na kumbi za starehe au night KLABU Dar se salaam au hata kuwa na branch mikoani.
3. Kwanini Asiwe hata na maji, Biscuit karanga etc.
4. Kwanini Asiwe na mashamba estate tukaziona????
5. KWANINI ASIWE NA UWEKEZAJI WOWOTE NA KUUTANGAZA BIASHARA ZAKE.
Mimi miradi ya JD naijua
JD ndio msanii mwenye Fedha na UWEKEZAJI zaidi Tanzania.
DIAMOND KARANGA TU ZILIMSHINDA.
FICHENI UJINGA.
WAPELEKENI WATOTO WENU SHULE.
HUYO MSANII WENU NI KAPUKU.
Ukiwa chawa wake kuvijua vyote hivyo kama ana miliki au laah ni ndani ya siku tatu tu, kwahiyo me nakushauri we kuwa chawa wake uone.HAO WASANII WENU HAWANA FEDHA MSIDANGANYWE.
MBONA MNAKUWA WAPUMBAVU KIASI HICHO??????
HIVI MTU MWENYE HELA
1. Kwanini asijenge hata hotel ya Nyota tatu au Tano Dar es salaam.
2. Kwanini Asiwe hata na kumbi za starehe au night KLABU Dar se salaam au hata kuwa na branch mikoani.
3. Kwanini Asiwe hata na maji, Biscuit karanga etc.
4. Kwanini Asiwe na mashamba estate tukaziona????
5. KWANINI ASIWE NA UWEKEZAJI WOWOTE NA KUUTANGAZA BIASHARA ZAKE.
Mimi miradi ya JD naijua
JD ndio msanii mwenye Fedha na UWEKEZAJI zaidi Tanzania.
DIAMOND KARANGA TU ZILIMSHINDA.
FICHENI UJINGA.
WAPELEKENI WATOTO WENU SHULE.
HUYO MSANII WENU NI KAPUKU.
Wamesahau kuweka ile helicopter ambayo bado iko hewani tangu ilipoanza safari.Mtandao wa Africa facts zone umeripoti kuwa Msanii Diamond Platnumz (Simba) kumiliki nyumba 11, hoteli, TV station pamoja na radio station pia kisiwa chenye thamani ya zaidi ya bilioni 1.8.
View attachment 2640927
Pia Afrika Face Zone wameripoti kuwa Diamond Platnumz huwa analipwa zaidi ya milioni 236 kwa show moja, huku akiingiza zaidi ya milioni 70 kwa mwezi kupitia endorsements.
Kapuku mwenye rolls royce 😅😅😅😅😅 sawasawa hata mimi naona ww ni mpumbavu sana mkuu, you are stupid than stupid ever,HAO WASANII WENU HAWANA FEDHA MSIDANGANYWE.
MBONA MNAKUWA WAPUMBAVU KIASI HICHO??????
HIVI MTU MWENYE HELA
1. Kwanini asijenge hata hotel ya Nyota tatu au Tano Dar es salaam.
2. Kwanini Asiwe hata na kumbi za starehe au night KLABU Dar se salaam au hata kuwa na branch mikoani.
3. Kwanini Asiwe hata na maji, Biscuit karanga etc.
4. Kwanini Asiwe na mashamba estate tukaziona????
5. KWANINI ASIWE NA UWEKEZAJI WOWOTE NA KUUTANGAZA BIASHARA ZAKE.
Mimi miradi ya JD naijua
JD ndio msanii mwenye Fedha na UWEKEZAJI zaidi Tanzania.
DIAMOND KARANGA TU ZILIMSHINDA.
FICHENI UJINGA.
WAPELEKENI WATOTO WENU SHULE.
HUYO MSANII WENU NI KAPUKU.
Watu wana wivu sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] aliwakosea nini ha ha ha wabongo jamani