Watu mna siri sana. Kumbe Diamond Platnumz anamiliki Kisiwa na hamsemi?

Watu mna siri sana. Kumbe Diamond Platnumz anamiliki Kisiwa na hamsemi?

HAO WASANII WENU HAWANA FEDHA MSIDANGANYWE.
MBONA MNAKUWA WAPUMBAVU KIASI HICHO??????

HIVI MTU MWENYE HELA

1. Kwanini asijenge hata hotel ya Nyota tatu au Tano Dar es salaam.

2. Kwanini Asiwe hata na kumbi za starehe au night KLABU Dar se salaam au hata kuwa na branch mikoani.

3. Kwanini Asiwe hata na maji, Biscuit karanga etc.

4. Kwanini Asiwe na mashamba estate tukaziona????

5. KWANINI ASIWE NA UWEKEZAJI WOWOTE NA KUUTANGAZA BIASHARA ZAKE.

Mimi miradi ya JD naijua
JD ndio msanii mwenye Fedha na UWEKEZAJI zaidi Tanzania.

DIAMOND KARANGA TU ZILIMSHINDA.
FICHENI UJINGA.
WAPELEKENI WATOTO WENU SHULE.

HUYO MSANII WENU NI KAPUKU.
Niliona heading nikajua umeandika cha maana kumbe magumashi tu.

Hivi unaweza wewe kumpangia mtu mahali pa kuwekeza ?

Hizo pesa unamtaftia wewe mpaka umwelekeze miradi ya kuwekeza ?

Unataka awe na hoteli ya nyota 5, sijui kumbi za starehe, what fuc is you ?

Mbona anamiliki Lebo ya Music, huo siyo uwekezaji ?

Mbona ni mmiliki mwenza wa WASAFI MEDIA, huo siyo uwekezaji ? au amewekeza tumbaku pale siyo hela hizo ?

Unawezaje kumpangia mtu mwenye hela miradi ya kuwekeza alafu wewe ukijifananisha na yeye wewe ni kapuku tu.

Ebu acheni zenu bhan, kila mtu ana kipaumbele chake kwenye maisha, tusipeane maelekezo
 
Niliona heading nikajua umeandika cha maana kumbe magumashi tu.

Hivi unaweza wewe kumpangia mtu mahali pa kuwekeza ?

Hizo pesa unamtaftia wewe mpaka umwelekeze miradi ya kuwekeza ?

Unataka awe na hoteli ya nyota 5, sijui kumbi za starehe, what fuc is you ?

Mbona anamiliki Lebo ya Music, huo siyo uwekezaji ?

Mbona ni mmiliki mwenza wa WASAFI MEDIA, huo siyo uwekezaji ? au amewekeza tumbaku pale siyo hela hizo ?

Unawezaje kumpangia mtu mwenye hela miradi ya kuwekeza alafu wewe ukijifananisha na yeye wewe ni kapuku tu.

Ebu acheni zenu bhan, kila mtu ana kipaumbele chake kwenye maisha, tusipeane maelekezo
Ukute huyo jamaa anaishi kwa shemeji kaa miguu juu huku anatoa comment jf
 
Tajiri hatangazwi, wala hua hapahitajiki kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu kuwa ni tajiri. Hizo ni dalili za walalahoi kujipakizia utajiri.
 
Back
Top Bottom