Watu mna siri sana. Kumbe Diamond Platnumz anamiliki Kisiwa na hamsemi?

cocastic hebu njoo utuambie ukweli wa hii habari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Domokayaaa ana kisiwa kipii?? Cha madalee au? Alete [emoji3575] kwani, maana toka atuahidi hadi leo hata tairi hatuoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani duniani kuna mambo unakuta Proffessor Lofa Diamond na uchizi wake bilionea
 
Itakuwa mwananyamala kisiwani
 
Bila shaka hii ndio ID ya JD humu JF.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Domokayaaa ana kisiwa kipii?? Cha madalee au? Alete [emoji3575] kwani, maana toka atuahidi hadi leo hata tairi hatuoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ndege kanunu sema tiyaraeii ndio wamemkwamisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

(aliskika mlevi mmoja wa chibuku akiongea [emoji23])
 
Kwamba hapandi stejini bila 250mili[emoji23][emoji23]

Hii nadhani hata wasafi wenyewe watashindwa kuandaa show ili alipwe pesa hii.
 
Hayo ya kuwa na fedha au kutokuwa na fedha ni ngum kuthibitisha,hzo list za biashara au uwekezaji ulizotaja sio lazima mtu apitie humo peke yake.Sio kila mtu anaona hotel au real estate ni biashara nzuri kama unavyoona wewe.Beside wengine wanaogopa hzo biashara za kivivu zenye initial cost kubwa kama real estate.Mbona ana hyo wasafi bet na ni kubwa tu,hzo radio na tv we unaona sio uwekezaji?,hata huo mziki wenyewe si ni biashara pia,au unataka afanye unazoziona wewe.
 
Ukiwa chawa wake kuvijua vyote hivyo kama ana miliki au laah ni ndani ya siku tatu tu, kwahiyo me nakushauri we kuwa chawa wake uone.
 
Wamesahau kuweka ile helicopter ambayo bado iko hewani tangu ilipoanza safari.
Kisiwa gani hicho anachomiliki? Sema jamaa fighter na ameweza.
Kuna mtandao nilishangaa ulitoa list ya wasanii wenye pesa nyingi afrika mashariki wakamweka jay d na professor jay wakawa wanaandika vitu vya kufikirika sijui walikuwa wanachukua story za instagram.
 
Mashabiki wa diamond hawana tofauti sana na mashabiki wa yanga.
 
Kapuku mwenye rolls royce 😅😅😅😅😅 sawasawa hata mimi naona ww ni mpumbavu sana mkuu, you are stupid than stupid ever,


Yaaaani we ni mpumbavu kuliko unavyojua Upumbavu, stupidddddd. In SSH voice,


Kama we ni mtu mzima nakuonea huruma akili za mtoto wa 12, years hizi kabisa,

Idiotic point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…