Watu mnalazimisha nyeusi kuwa nyeupe Harmonize hawezi kuwa msanii mkubwa zaidi ya Kiba

Watu mnalazimisha nyeusi kuwa nyeupe Harmonize hawezi kuwa msanii mkubwa zaidi ya Kiba

Ukubwa wa Harmonize unatokana na Nini msanii embu mtujibu au kua na dem mzungu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Ukubwa wake unaanza pale ambapo mashabiki wa wasanii wadogo wadogo kama kina meja kunta na kiba kama wewe mnapomfatilia zaidi kuzidi wasanii wenu.

Kwa sasa alikiba ashachuja, ngoma yake tangu itoke juzi haijashika namba moja youtube, kielelezo tosha watanzania hawana muda nae
 
Nani alianza kumponda mwenzake ?au umesahau Kiba kipindi anarudi kimziki alivyokuwa akimponda Diamond (Mkasi na Sporah) mpaka Mondi akafanyiwa Zengwe Kili Music na kuzomewa Fiesta.Ila cha ajabu tuzo waliomnyima Kili ya best peformer TZ akaenda kupewa ya best performer Africa 2015 na MTV plus BET nomination.

Kuanzia hapo Mondi nae kaanza kujibu mapigo.
Ila siku hizi (ana zaidi ya miaka 2) Mondi hajibu, Harmonize na crew lake la HBaba,Diva na Mwijaku kila siku wanaponda wanategemewa kujibiwa ila Mondi kimya,Ommy Dimpozi nae siku hizi hawa mjibu hata huyu nae na nyimbo yake atakaushiwa.

Kwani Mondi sasa hivi ana mambo mengi ya kufanya kwa label yake ya WCB na kampuni yake ya Wasafi Media alafu ni ligi mbili tofauti,mmoja anang'ang'ania U-KING,Diamond anafikiria kutanua mziki wake ufike mbali mpaka sasa ukitoa nchi za kiarabu Diamond kishapiga show karibia 90% ya nchi zote za Africa.
Kiba ni King wa bongofleva..Mondi anapiga kelele kama wanaija mf baba lao
 
Ukubwa wake unaanza pale ambapo mashabiki wa wasanii wadogo wadogo kama kina meja kunta na kiba kama wewe mnapomfatilia zaidi kuzidi wasanii wenu.

Kwa sasa alikiba ashachuja, ngoma yake tangu itoke juzi haijashika namba moja youtube, kielelezo tosha watanzania hawana muda nae
Harmonize toka Lin akawa namba moja trend kama Kiba na Mond wametoa nyimbo??? Pia harmonize kutafuta Milion now mpaka wiki mbili zinafika angalia Kiba katoa Jana now Ana laki saba analia midia na vyombo vya habar page za udaku ndio utamjua Kiba ni Nan

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
katika mastaa wenye wakati mgumu kwa sasa bongo basi ni kiba, kinachompa stress zaidi ni kuzidiwa hadi na mmakonde coz kwa sasa ukiitoa wcb, label kubwa inayofuata bongo ni konde music akati label yake ni ya kitambo bt haina msanii hata anaeeleweka

kiba ni msanii mzuri bt anapaswa kuacha kufanya kazi kimazoea ili aendelee kua bora tofauti na hapo atachukia watu bure
 
katika mastaa wenye wakati mgumu kwa sasa bongo basi ni kiba, kinachompa stress zaidi ni kuzidiwa hadi na mmakonde coz kwa sasa ukiitoa wcb, label kubwa inayofuata bongo ni konde music akati label yake ni ya kitambo bt haina msanii hata anaeeleweka

kiba ni msanii mzuri bt anapaswa kuacha kufanya kazi kimazoea ili aendelee kua bora tofauti na hapo atachukia watu bure
Lebo ya konde Ina ukubwa Gan???? Mbona hutumii akil kuandika embu Tuambie wasanii wa konde Wana mafanikio Gan au kua Lebo kubwa ni kua na Wasanii weng wasio na maana

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
katika mastaa wenye wakati mgumu kwa sasa bongo basi ni kiba, kinachompa stress zaidi ni kuzidiwa hadi na mmakonde coz kwa sasa ukiitoa wcb, label kubwa inayofuata bongo ni konde music akati label yake ni ya kitambo bt haina msanii hata anaeeleweka

kiba ni msanii mzuri bt anapaswa kuacha kufanya kazi kimazoea ili aendelee kua bora tofauti na hapo atachukia watu bure
Alikiba hawez kua na wakat ngum sababu ya Aina ya Mashabiki wake alio kua nao

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Lebo ya konde Ina ukubwa Gan???? Mbona hutumii akil kuandika embu Tuambie wasanii wa konde Wana mafanikio Gan au kua Lebo kubwa ni kua na Wasanii weng wasio na maana

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
kama akili yako inafanya kazi, ukiulizwa kati ya konde music na king music ni label gani kubwa utachagua king music? king music imeizidi ukongwe tu konde music
 
kama akili yako inafanya kazi, ukiulizwa kati ya konde music na king music ni label gani kubwa utachagua king music? king music imeizidi ukongwe tu konde music
Ukubwa upi unao usemea wewe kua na Wasanii wengi au? Ivi Kat ya ibra na tomy flavor yupi msanii mkubwa???

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom