Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Kiba ni mbuzi wakienyeji Kama kutuimbia uouuzi wa mediocre ila Diamond platinumz TH .G. O. A. TKiba ni King wa bongofleva..Mondi anapiga kelele kama wanaija mf baba lao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiba ni mbuzi wakienyeji Kama kutuimbia uouuzi wa mediocre ila Diamond platinumz TH .G. O. A. TKiba ni King wa bongofleva..Mondi anapiga kelele kama wanaija mf baba lao
Sasa ibrah unaweza mlinganisha na nani pale Kings?Lebo ya konde Ina ukubwa Gan???? Mbona hutumii akil kuandika embu Tuambie wasanii wa konde Wana mafanikio Gan au kua Lebo kubwa ni kua na Wasanii weng wasio na maana
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
MASHABIKI visodaAlikiba hawez kua na wakat ngum sababu ya Aina ya Mashabiki wake alio kua nao
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
KAFIE MBELE uipunguzii chochote WCBSasa hiv bifu ni Kiba na Hamo, Kiba hana ubavu wa kushindana na Diamond, japo Diamond kapoteza mashabiki wengi nikiwemo mimi baada ya kujiunga na shetani(ccm)
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Primary [emoji1787][emoji1787][emoji1787]wakati kiba niwa1986 na diamond 1989 means kiba akiwa la 7 diamond la 4 wote primary [emoji38][emoji38][emoji38]Watu wanashindwa kuelewa kua Kiba yupo kwenye mziki toka 2002/2003 mond akiwa bado primary sasa how comes kiba atumie mgongo wa mond vipi kipindi ambacho mond hakuepo alitumia mgongo wa nan
Kwa sababu gani umesema hivyo?KAFIE MBELE uipunguzii chochote WCB