Watu mnalazimisha nyeusi kuwa nyeupe Harmonize hawezi kuwa msanii mkubwa zaidi ya Kiba

Watu mnalazimisha nyeusi kuwa nyeupe Harmonize hawezi kuwa msanii mkubwa zaidi ya Kiba

acha kuandika utopolo.
Na usirudie kumfananisha konde boy na maujinga yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo unataka kuniambia mmakonde kampiga chini king
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo unataka kuniambia mmakonde kampiga chini king
Kumringanisha harmonize na alikiba ni kumzika harmonize ki mzik sababu Mashabiki weng walio kua Wana msapot harmonize ni team Kiba so kuanzia Leo tunaachana nae

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli awe harmonize, alikiba au diamond wote hao wamenizidi mbali sana na kuona watu wanagombana kisa hao wasanii huwa nashangaa sana kwa sababu mpaka sasa wanaingiza hela ingekuwa thread zenu za kuwaponda zinawaongezea hela au zinawapunguzia basi ningesema mnafanya kazi nzuri lakini hata ndio kwanza wanazidi kufanikiwa kwa hiyo mashabiki punguzeni kasi hao vijana wote wameajili vijana wenzenu angalau wanasaidia familia zao kuliko nyie kila siku mnakazi ya kuponda na kukashifu jaribuni kuwa mashabiki wa wasanii wote muone amani mtakayo pata Mungu baba awalinde mkawe watu wenye kuthamini vile wanavyofanya vijana wenzenu
 
Kwa kweli awe harmonize, alikiba au diamond wote hao wamenizidi mbali sana na kuona watu wanagombana kisa hao wasanii huwa nashangaa sana kwa sababu mpaka sasa wanaingiza hela ingekuwa thread zenu za kuwaponda zinawaongezea hela au zinawapunguzia basi ningesema mnafanya kazi nzuri lakini hata ndio kwanza wanazidi kufanikiwa kwa hiyo mashabiki punguzeni kasi hao vijana wote wameajili vijana wenzenu angalau wanasaidia familia zao kuliko nyie kila siku mnakazi ya kuponda na kukashifu jaribuni kuwa mashabiki wa wasanii wote muone amani mtakayo pata Mungu baba awalinde mkawe watu wenye kuthamini vile wanavyofanya vijana wenzenu
Point
 
Nani alianza kumponda mwenzake ?au umesahau Kiba kipindi anarudi kimziki alivyokuwa akimponda Diamond (Mkasi na Sporah) mpaka Mondi akafanyiwa Zengwe Kili Music na kuzomewa Fiesta.Ila cha ajabu tuzo waliomnyima Kili ya best peformer TZ akaenda kupewa ya best performer Africa 2015 na MTV plus BET nomination.

Kuanzia hapo Mondi nae kaanza kujibu mapigo.
Ila siku hizi (ana zaidi ya miaka 2) Mondi hajibu, Harmonize na crew lake la HBaba,Diva na Mwijaku kila siku wanaponda wanategemewa kujibiwa ila Mondi kimya,Ommy Dimpozi nae siku hizi hawa mjibu hata huyu nae na nyimbo yake atakaushiwa.

Kwani Mondi sasa hivi ana mambo mengi ya kufanya kwa label yake ya WCB na kampuni yake ya Wasafi Media alafu ni ligi mbili tofauti,mmoja anang'ang'ania U-KING,Diamond anafikiria kutanua mziki wake ufike mbali mpaka sasa ukitoa nchi za kiarabu Diamond kishapiga show karibia 90% ya nchi zote za Africa.

Sawa sawa
 
Ukitoa MTV Base, Channel O na BET ( Siyo aliyopata Rayvanny ).

Tuzo nyingine zote ambazo wabongo walishawahi kushinda ni takataka.
sasa aliyopata rayvanny inatolewa na Nani kama siyo BET? Hizo fikra zako ni mfuu, fikra za akinya bata kaharisha!
 
Ukweli ni kwamba Harmonize ni habari nyingine kwasasa, na muda mchache ujao anakwenda kuwa msanii mkubwa barani Afrika. Huyo alikiba hana jipya kwasasa tuwe wa kweli pumzi zimemuishia na sasa anatafuta kwa kufia. Diamond ndio habari nyingine kabisa kwa hao wasanii wawili yani ni mbigu na ardhi, ligi kuu na Cha ndimu hakuna mvutano linganifu Kati yao kabisa. Hizo tuzo nyingi za kimataifa za kiba ni ngapi? Muda ufike kiba na harmonize waache kutumia mgongo wa diamond [emoji184]
Sasa hiv bifu ni Kiba na Hamo, Kiba hana ubavu wa kushindana na Diamond, japo Diamond kapoteza mashabiki wengi nikiwemo mimi baada ya kujiunga na shetani(ccm)

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Kiba ni King wa bongofleva..Mondi anapiga kelele kama wanaija mf baba lao
Kweli yy King tunamuona,Mondi ndio anaimaliza Africa ,yy anazunguka hapa hapa Africa Mashariki.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kiba katumia vip mgongo wa Mond au unaiongelea ushabiki Kwan alie Anza kumuimba mwenzake ni Nan?, Kati ya Kiba na Mond

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Watu wanashindwa kuelewa kua Kiba yupo kwenye mziki toka 2002/2003 mond akiwa bado primary sasa how comes kiba atumie mgongo wa mond vipi kipindi ambacho mond hakuepo alitumia mgongo wa nan
 
Dahh!!! Kweli mondi atar, kwahyo kiba na harmo wao ni second class wanaowania uhasama na mondi ili ku maintain kwenye game
 
Hivi kwanini watoto wa wachungaji wana dharau sana siku ya jumapili kanisani?

Wanajionaga kama waefeso vile?
 
unaanzaje kumuita magufuli rais Wa kwanza TZ aliefanya makubwa na kumsahau wanyuma yake najua hutonielewa kutokana na akili zako ndogo mfalme kwa kipi make kama ni kuimba wapo wanao imba kumzidi na uyo amekuwa inspired na akina dully kwa hao hawatambuliki
Kiba ni King wa bongofleva..Mondi anapiga kelele kama wanaija mf baba lao
 
Alikiba kama Alikiba mashabiki wake wengi walioko kwa sasa ni wale wenye hasira na wivu wa mafanikio ya Diamond, wanajitahidi kufanya kila hila ili Diamond aonekane wa kawaida na mtu ambaye at least anajaribu kuwatimizia matamanio yao ni Alikiba.
Na hao wenye roho za kwa nini ndio wamebakia wakisema wanaongeza zeroes, sawa Youtube wananunua views, vp audiomack, boomsplay, itune nk, nako namba zao zinachakachuliwa au??? Kila siku wanajitetea kitu hicho hicho tuu. Tupende tusipende Streaming ndio kipimo cha ukubwa wa msanii kwa sasa na namba hazidanganyi. Huo ukubwa mnaouongelea mwingine labda wa kiumri.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
 
Back
Top Bottom