Watu mnalazimisha nyeusi kuwa nyeupe Harmonize hawezi kuwa msanii mkubwa zaidi ya Kiba

Ukubwa wa Harmonize unatokana na Nini msanii embu mtujibu au kua na dem mzungu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Ukubwa wake unaanza pale ambapo mashabiki wa wasanii wadogo wadogo kama kina meja kunta na kiba kama wewe mnapomfatilia zaidi kuzidi wasanii wenu.

Kwa sasa alikiba ashachuja, ngoma yake tangu itoke juzi haijashika namba moja youtube, kielelezo tosha watanzania hawana muda nae
 
Kiba ni King wa bongofleva..Mondi anapiga kelele kama wanaija mf baba lao
 
Harmonize toka Lin akawa namba moja trend kama Kiba na Mond wametoa nyimbo??? Pia harmonize kutafuta Milion now mpaka wiki mbili zinafika angalia Kiba katoa Jana now Ana laki saba analia midia na vyombo vya habar page za udaku ndio utamjua Kiba ni Nan

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
katika mastaa wenye wakati mgumu kwa sasa bongo basi ni kiba, kinachompa stress zaidi ni kuzidiwa hadi na mmakonde coz kwa sasa ukiitoa wcb, label kubwa inayofuata bongo ni konde music akati label yake ni ya kitambo bt haina msanii hata anaeeleweka

kiba ni msanii mzuri bt anapaswa kuacha kufanya kazi kimazoea ili aendelee kua bora tofauti na hapo atachukia watu bure
 
Lebo ya konde Ina ukubwa Gan???? Mbona hutumii akil kuandika embu Tuambie wasanii wa konde Wana mafanikio Gan au kua Lebo kubwa ni kua na Wasanii weng wasio na maana

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Alikiba hawez kua na wakat ngum sababu ya Aina ya Mashabiki wake alio kua nao

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Lebo ya konde Ina ukubwa Gan???? Mbona hutumii akil kuandika embu Tuambie wasanii wa konde Wana mafanikio Gan au kua Lebo kubwa ni kua na Wasanii weng wasio na maana

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
kama akili yako inafanya kazi, ukiulizwa kati ya konde music na king music ni label gani kubwa utachagua king music? king music imeizidi ukongwe tu konde music
 
kama akili yako inafanya kazi, ukiulizwa kati ya konde music na king music ni label gani kubwa utachagua king music? king music imeizidi ukongwe tu konde music
Ukubwa upi unao usemea wewe kua na Wasanii wengi au? Ivi Kat ya ibra na tomy flavor yupi msanii mkubwa???

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…