Watu ninaowajua ambao Gambo aliwavunjia heshima

Watu ninaowajua ambao Gambo aliwavunjia heshima

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Wapo watu ambao Gambo aliwavunjia heshima na hivyo kuwadhihaki au kuwafanya wataabike mbele ya umma japo ni watu wasio na mawaa.

1-Mhe.Felix Ntibenda -alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.(alimfitini tu hadi akaondolewa)..

2-Mganga mkuu mmoja mkoani Tanga(alimpiga kibao kisa kunywa maji wakati Yeye kama mhe.DC anamuuliza issue)

3-Mzee Dakharo alikuwa mkuu wa wilaya ya Arusha

4-Mkurugenzi wa jiji la Arusha Dr PIMA.

5-Mwanasheria mmoja mkoani Tanga (alisema degree yake ni ya chupi)

Sitaki kumchongea ila tabia yake hii ya kuwadhalilisha watu wasio na mawaa inakera kiasi cha kwamba inafanya baadhi ya watu wafurahie spana alizopigwa na Makonda.

Nadhani ni muda na muafaka kwake kubadili au kupunguza hulka hii chafu.
 
Wapo watu ambao Gambo aliwavunjia heshima na hivyo kuwadhihaki au kuwafanya wataabike mbele ya umma japo ni watu wasio na mawaa.

1-Mhe.Felix Ntibenda -alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.(alimfitini tu hadi akaondolewa)..

2-Mganga mkuu mmoja mkoani Tanga(alimpiga kibao kisa kunywa maji)

3-Mzee Dakharo alikuwa mkuu wa wilaya ya Arusha

4-Mkurugenzi wa jiji la Arusha Dr PIMA.

5-Mwanasheria mmoja mkoani Tanga (alisema degree yake ni ya chupi)

Sitaki kumchongea ila tabia yake hii ya kuwadhalilisha watu wasio na mawaa inakera kiasi cha kwamba inafanya baadhi ya watu wafurahie spana alizopigwa na Makonda.

Nadhani ni muda na muafaka kwake kubadili au kupunguza hulka hii chafu.
Usisahau pale stendi ndogo aliwadhalilisha wafanyabiashara na kwa kushirikiana na Makoy na Loken wakawanyang'anya mali zao. Wakawafilisi kabisa. Mpaka Leo lile eneo la serikali wanakula hela yeye na kina Makoi Morris. Aliyafanya hayo kutafuta political milleage
 
Hiyo ya kumpiga kibao, kama mimi ndio ningekuwa huyo daktari, yangekuwa mengine.
Najua ningelala jela, kazi ningepoteza, na misukosuko mingine, ila uso wake usingetamanika, mpaka watu wasogee ni aidha kapasuka ama anatema damu.
 
Wapo watu ambao Gambo aliwavunjia heshima na hivyo kuwadhihaki au kuwafanya wataabike mbele ya umma japo ni watu wasio na mawaa.

1-Mhe.Felix Ntibenda -alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.(alimfitini tu hadi akaondolewa)..

2-Mganga mkuu mmoja mkoani Tanga(alimpiga kibao kisa kunywa maji wakati Yeye kama mhe.DC anamuuliza issue)

3-Mzee Dakharo alikuwa mkuu wa wilaya ya Arusha

4-Mkurugenzi wa jiji la Arusha Dr PIMA.

5-Mwanasheria mmoja mkoani Tanga (alisema degree yake ni ya chupi)

Sitaki kumchongea ila tabia yake hii ya kuwadhalilisha watu wasio na mawaa inakera kiasi cha kwamba inafanya baadhi ya watu wafurahie spana alizopigwa na Makonda.

Nadhani ni muda na muafaka kwake kubadili au kupunguza hulka hii chafu.
Mbona nyie Ccm hamkumkanya aache hizo tabia ?
 
Anakacha vikao vya RCC yeye ni mjumbe na pia vya madiwani akiwa ni mjumbe kwa sababu ni mbunge wa Arusha mjini.
Kukwepa swali akaleta vikao vya Bunge wakati aliulizwa kuhusu vikao vya RCC na vya madiwani kwenye Halmashauri ya Jiji la Arusha. NI mtu wa visasi na majungu.
 
Wapo watu ambao Gambo aliwavunjia heshima na hivyo kuwadhihaki au kuwafanya wataabike mbele ya umma japo ni watu wasio na mawaa.

1-Mhe.Felix Ntibenda -alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.(alimfitini tu hadi akaondolewa)..

2-Mganga mkuu mmoja mkoani Tanga(alimpiga kibao kisa kunywa maji wakati Yeye kama mhe.DC anamuuliza issue)

3-Mzee Dakharo alikuwa mkuu wa wilaya ya Arusha

4-Mkurugenzi wa jiji la Arusha Dr PIMA.

5-Mwanasheria mmoja mkoani Tanga (alisema degree yake ni ya chupi)

Sitaki kumchongea ila tabia yake hii ya kuwadhalilisha watu wasio na mawaa inakera kiasi cha kwamba inafanya baadhi ya watu wafurahie spana alizopigwa na Makonda.

Nadhani ni muda na muafaka kwake kubadili au kupunguza hulka hii chafu.
Wamekutana Mr misifa mwenzie Makonda.
 
Back
Top Bottom