Watu ninaowajua ambao Gambo aliwavunjia heshima

Watu ninaowajua ambao Gambo aliwavunjia heshima

Wapo watu ambao Gambo aliwavunjia heshima na hivyo kuwadhihaki au kuwafanya wataabike mbele ya umma japo ni watu wasio na mawaa.

1-Mhe.Felix Ntibenda -alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.(alimfitini tu hadi akaondolewa)..

2-Mganga mkuu mmoja mkoani Tanga(alimpiga kibao kisa kunywa maji wakati Yeye kama mhe.DC anamuuliza issue)

3-Mzee Dakharo alikuwa mkuu wa wilaya ya Arusha

4-Mkurugenzi wa jiji la Arusha Dr PIMA.

5-Mwanasheria mmoja mkoani Tanga (alisema degree yake ni ya chupi)

Sitaki kumchongea ila tabia yake hii ya kuwadhalilisha watu wasio na mawaa inakera kiasi cha kwamba inafanya baadhi ya watu wafurahie spana alizopigwa na Makonda.

Nadhani ni muda na muafaka kwake kubadili au kupunguza hulka hii chafu.
Kwa hili nakuunga mkono. Gambo ni mfitini sana. Anapaswa na yeye anyweshwe kikombe alichowanyweshea wenzake
 
Wapo watu ambao Gambo aliwavunjia heshima na hivyo kuwadhihaki au kuwafanya wataabike mbele ya umma japo ni watu wasio na mawaa.

1-Mhe.Felix Ntibenda -alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.(alimfitini tu hadi akaondolewa)..

2-Mganga mkuu mmoja mkoani Tanga(alimpiga kibao kisa kunywa maji wakati Yeye kama mhe.DC anamuuliza issue)

3-Mzee Dakharo alikuwa mkuu wa wilaya ya Arusha

4-Mkurugenzi wa jiji la Arusha Dr PIMA.

5-Mwanasheria mmoja mkoani Tanga (alisema degree yake ni ya chupi)

Sitaki kumchongea ila tabia yake hii ya kuwadhalilisha watu wasio na mawaa inakera kiasi cha kwamba inafanya baadhi ya watu wafurahie spana alizopigwa na Makonda.

Nadhani ni muda na muafaka kwake kubadili au kupunguza hulka hii chafu.
 

Attachments

  • 1728759764686.jpg
    1728759764686.jpg
    154.8 KB · Views: 4
Anakacha vikao vya RCC yeye ni mjumbe na pia vya madiwani akiwa ni mjumbe kwa sababu ni mbunge wa Arusha mjini.
Kukwepa swali akaleta vikao vya Bunge wakati aliulizwa kuhusu vikao vya RCC na vya madiwani kwenye Halmashauri ya Jiji la Arusha. NI mtu wa visasi na majungu.
Anasumbuliwa na majivuno ya kihaya.
 
Gambo wala asipoteze fedha za kura ya maoni....achukue kiinua mgongo apige mishe nyingine. Anaweza toboa kwemye biashara kwa connection alizonazo na sio kupoteza ela ya kuinua mgongo kutetea kiti ambacho wajumbe wanasubiri wamle kichwa.
 
Muulize na Nabii Lema na kulazwa gereza la Kisongo kwenye kesi hewa iliyosimamiwa na huyo Mrisho Gambo
 
Hiyo ya kumpiga kibao, kama mimi ndio ningekuwa huyo daktari, yangekuwa mengine.
Najua ningelala jela, kazi ningepoteza, na misukosuko mingine, ila uso wake usingetamanika, mpaka watu wasogee ni aidha kapasuka ama anatema damu.
Manen ya mkosaj
 
Usisahau pale stendi ndogo aliwadhalilisha wafanyabiashara na kwa kushirikiana na Makoy na Loken wakawanyang'anya mali zao. Wakawafilisi kabisa. Mpaka Leo lile eneo la serikali wanakula hela yeye na kina Makoi Morris. Aliyafanya hayo kutafuta political milleag

Usisahau pale stendi ndogo aliwadhalilisha wafanyabiashara na kwa kushirikiana na Makoy na Loken wakawanyang'anya mali zao. Wakawafilisi kabisa. Mpaka Leo lile eneo la serikali wanakula hela yeye na kina Makoi Morris. Aliyafanya hayo kutafuta political milleage
Kiukweli Gambo ni dalali wa hivyo vizimba hapo Arusha stand ndogo yeye na shokia na raia mmoja mwenyeji wa asia anaitwa Moiz
 
Hiyo ya kumpiga kibao, kama mimi ndio ningekuwa huyo daktari, yangekuwa mengine.
Najua ningelala jela, kazi ningepoteza, na misukosuko mingine, ila uso wake usingetamanika, mpaka watu wasogee ni aidha kapasuka ama anatema damu.
Mpaka waje kuamua, I'm sure Nisha mkata midomo
 
Gambo ndio basi tena bye bye bungeni itabakia story na utamu wake
 
Wapo watu ambao Gambo aliwavunjia heshima na hivyo kuwadhihaki au kuwafanya wataabike mbele ya umma japo ni watu wasio na mawaa.

1-Mhe.Felix Ntibenda -alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.(alimfitini tu hadi akaondolewa)..

2-Mganga mkuu mmoja mkoani Tanga(alimpiga kibao kisa kunywa maji wakati Yeye kama mhe.DC anamuuliza issue)

3-Mzee Dakharo alikuwa mkuu wa wilaya ya Arusha

4-Mkurugenzi wa jiji la Arusha Dr PIMA.

5-Mwanasheria mmoja mkoani Tanga (alisema degree yake ni ya chupi)

Sitaki kumchongea ila tabia yake hii ya kuwadhalilisha watu wasio na mawaa inakera kiasi cha kwamba inafanya baadhi ya watu wafurahie spana alizopigwa na Makonda.

Nadhani ni muda na muafaka kwake kubadili au kupunguza hulka hii chafu.
Jamaa nadhani kati ya mwaka 2012-2024 hapo. Alikwenda kushiriki mkutano wa vijana Nairobi nchini Kenya. Walifikia kwenye hoteli moja walioyoandaliwa na waandaaji wa mkutano, mida ya jioni, akaingia kitaa kutafuta kiburudisho.

Baada ya kuburudika sijui akapandishiwa bei. Kinurudisho kikaleta varangati. Nduru na kelele zisizokuwa na mfano. Askari polisi ilibidi wamsombe akapelekwa selo.

Ilibidi waandaaji wa kongamano wamaadie kulipiq huduma na kumtoa rumande.
 
Gambo kwa fitina hana mpinzani. Sema jamaa kakulia kwenye chama. Kuanzia chipukizi hadi UVCCM... akiwa anasoma Arusha ndo alijikita zaidi UVCCM. Hata kazi yake ya kwanza ilikuwa ni IT pale manispaa Arusha. Wakati wa ajali ya Lucky Vicent aliwasweka ndani watu waliokuwa wanaenda moja kwa moja kwenye familia za wahanga kutoa rambirambi. Zilikuwa zinapitia kwake. Katika aliowaweka ndani kulikuwa na viongozi wa dini. Mstahiki Meya wa sasa alinusurika hiyo siku. Kuna tetesi pia hata Maza hamtaki huyu kenge.
 
Kiukweli Gambo ni dalali wa hivyo vizimba hapo Arusha stand ndogo yeye na shokia na raia mmoja mwenyeji wa asia anaitwa Moiz
Kweli kabisa, Moris Makoy ambae ni mwenyekit wa halmashauri ya Moshi vijijini, huyu anatumia cheo Cha CCM kuumiza watu...amenyang'anya watu Mali nyingi na anatetea Kila ofisi, Shokia mtumishi wa serikali na dalali, Mzee kwayu, Mzee mollel, Loken na moiz wote hawa wakishirikiana na Gambo ndo wafaidika wakuu wa hivyo vibanda. Wameumizwa watu sana, wamefilisi watu sana. Bahat mbaya wanatetewa kwa sababu Moris ni kiongozi mkubwa na Gambo Wana konekshen.
 
Jamaa nadhani kati ya mwaka 2012-2024 hapo. Alikwenda kushiriki mkutano wa vijana Nairobi nchini Kenya. Walifikia kwenye hoteli moja walioyoandaliwa na waandaaji wa mkutano, mida ya jioni, akaingia kitaa kutafuta kiburudisho.

Baada ya kuburudika sijui akapandishiwa bei. Kinurudisho kikaleta varangati. Nduru na kelele zisizokuwa na mfano. Askari polisi ilibidi wamsombe akapelekwa selo.

Ilibidi waandaaji wa kongamano wamaadie kulipiq huduma na kumtoa rumande.
Huyu Gambo huyu?? Anapenda bwerere😂😂😂. Alisema aliwekewa condom chafu yenye mafuta
 
Back
Top Bottom