Watu ninaowajua ambao Gambo aliwavunjia heshima

bro mimi uki nizingua hata uwe mkuu wa. Kituo, tuta yamaliza tu.
 
Kuna siku Chingolo akiwa DC huko longido alimkamata Kabali, alikuwa amchape vibao...kamati ya ulinzi ya usalama mkoa iliwaamua😂😂. Angeendelea kubaki na Daqaro lazima Daqaro angemkata kelbu
Unadhani nani hapo angeshinda kwa TKO.
 
Huyu Morris Makoy namsikia sana akitajwa huko moshi anaonekana ni fighter wa Siasa na Biashara.
 
Kuna siku Chingolo akiwa DC huko longido alimkamata Kabali, alikuwa amchape vibao...kamati ya ulinzi ya usalama mkoa iliwaamua😂😂. Angeendelea kubaki na Daqaro lazima Daqaro angemkata kelbu
Daqaro ntu ya system 🤣🤣🤣..
Alikua hapendi upumbav
 
Gambo na makonda wanafanana kabisa tabia
 
Hiyo ya kumpiga kibao, kama mimi ndio ningekuwa huyo daktari, yangekuwa mengine.
Najua ningelala jela, kazi ningepoteza, na misukosuko mingine, ila uso wake usingetamanika, mpaka watu wasogee ni aidha kapasuka ama anatema damu.
Miaka mingi iliyo pita tukiwa A- level tukiwa tunajiandaa kufanya MITIHANI ya form six.
Tukawa tupo DH kwa nyuma DH huwa Kuna wa mama wanauzaga mboga matunda, samaki e.t.c mwanafunzi harusiwi kuingia ndani anatakiwa asimame kwa nje so huyo jamaa akakutwa ndani ya kijumba Cha kuuzia..

Mwalimu alipo fika akaanza kumuhoji kwanini yupo mle ndani... kwa kifupi mwalimu alikua mpenda sifa na ubabe mle ndani akiwa Hana hili Wala lile MWALIMU AKAMNASA MAKOFI MAZITO MAZITO YA KELEBU YULE JAMAA.

Jamaa alitoka mle kwenye kijumba Cha kuuzia akakaa pembeni na kutokwa na machozi akarudi tukastukia mwalimu kapigwa roba yupo kwapani anabembea....

😊☺️ Alisikika mwalimu akiwa kapigwa vice ( Roba)...KIJANA UTAPATA MATATIZO....KIJANA PUNGUZA HASIRA...KIJANA PUNGUZA HASIRA UTAPATA MATATIZO😅😅

Mwisho watu waliwai kumsaidia mwalimu alitoka ana hema Sana na kushikilia koo...YULE KIJANA ALIPIGWA SP na akafanya MITIHANI akitokea uraiani / Ila alikua anajificha pale pale shuleni maana ilikua ni boarding school..maana ilikua weekend na jumatatu mitiani ya form six ilianza JAMAA ALIFAULU NA KUPATA DIVISION TWO YA MWANZO KABISA.
 
Hiyo ya kumpiga kibao, kama mimi ndio ningekuwa huyo daktari, yangekuwa mengine.
Najua ningelala jela, kazi ningepoteza, na misukosuko mingine, ila uso wake usingetamanika, mpaka watu wasogee ni aidha kapasuka ama anatema damu.
wewe nakuaminia!
Hata Tupac alisema "My Mama Raised No Fool"
 
Makoy wa Aquiline hotel, au yule wa Pharmacy mwenye kesi ya kumuua mr Tembo?
Huyu anaemsema ni wa stand ndogo naona na ni kiongozi wa ccm huko halmashauri ya moshi. Wa tembo alimuuwaje mr tembo. Kuna kesi moja iliandikwa magazetini ukrusa wa mbele 11 kuhukumiwa kwenye mauaji ya mwanaharakti wa tembo makoy yupo pia?
 
wewe nakuaminia!
Hata Tupac alisema "My Mama Raised No Fool"
Linapokuja suala la kulinda heshima ama utu wangu, huwa sijali mazingira, o level mwl alinikosea adabu, nikakata makofi, waliona uzito wa kosa la mwenzao, wakanipiga suspension ya mwezi mzima, nikaamua nihame tu na shule yenyewe.
 
Kuna mambo ukifanyiwa uvumilivu unakutoka.
O level yalinitokea mambo ya dizaini hiyo mara 2, moja nilipigwa suspension, tukio la pili uongozi ukaona mwenzao kazingua, basi wakavunga, japo nilipigwa mikwaju tu kuwahadaa wanafunzi.
 
Ngoja watavunane na kichaa mwenzake makondakta
 
Huyu anaemsema ni wa stand ndogo naona na ni kiongozi wa ccm huko halmashauri ya moshi. Wa tembo alimuuwaje mr tembo. Kuna kesi moja iliandikwa magazetini ukrusa wa mbele 11 kuhukumiwa kwenye mauaji ya mwanaharakti wa tembo makoy yupo pia?
Huyu alieuwa tembo ni yule makoy anakuwaga na duka la dawa pale chini ya mti hiyo Kona ya kwa mama lulu. Anauzaga dawa bei poa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…