Watu tunasherekea utajiri wa Elon Musk kushuka

Kipichi ndo nn
 
Hivi huwa unaamini jarida la forbes eti ndo linajua nani ni tajiri kuliko mwingine. Bila kuwapeleka wao taarifa hawawezi jua utajiri wako. Kuna watu ni matajiri zaidi kuliko hata hao lakini sio watu wa media
Unamaanisha kina vunja bei na Diamond?
 
Unahisi atakuwa masikini kama ukoo wenu?
 
Jambo, hadi wewe kweli 😀
 
Mi nampenda Elon,Kanye napenda watu vichaa vichaa hivi na mabilionea
Daah nimekuelewa sana.
Ndio wale mnapenda hata mapatna wako rafu rafu kila idara😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…