Watu wa aina hii huwa mnaishi nao vipi?

Watu wa aina hii huwa mnaishi nao vipi?

Binti Sayuni03

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2025
Posts
1,075
Reaction score
1,913
Watu ambao anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa.

Ukimfanyia kitu kidogo tu anakikuza kiwe kikubwa na kukasirika sana.

Mtu ambaye yeye akikosea anaweza hata asiombe msamaha.

Mtu ambaye anakasirishwa na vitu vidogo, huwa mnaishi vipi na watu kama hawa nipate idea🤔
 
Watu ambao anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa.

Ukimfanyia kitu kidogo tu anakikuza kiwe kikubwa na kukasirika sana.

Mtu ambaye yeye akikosea anaweza hata asiombe msamaha.

Mtu ambaye anakasirishwa na vitu vidogo, huwa mnaishi vipi na watu kama hawa nipate idea🤔
Kimewaka! Ni room mate au ni mchumba au ni mweza mliyefunga pingu tayari? Ukijibu ndiyo tunaweza kukupa ushauri mzuri. Ila binadamu wa hivi wapo na ni kazi kweli kweli kuishi nao.
 
Kakuchoka huyo achana nae, mtu ambaye bado anakuhitaji hawezi kuwa kero kwako kila muda na wala hawezi kuwa mtu wa makasiriko kwa kila utendalo, iko hivi mkiwa mnahitajiana na mtu iwe mpenzi, ndugu, rafiki huwa kuna balance ya kuchukulia uzito makosa ya mwingine mpaka pale mmoja atakapovuka mstari wa uvumilivu, ndipo pale sasa unaonekana kero kwa kila utendalo.
Ukicheka atahisi unamtusi na ukikaa kimya utaonekana kiburi, hapo huna namna acha mambo yaende naturally huwezi badili kitu, muache aende labda awe mzazi😅.
 
Kakuchoka huyo achana nae, mtu ambaye bado anakuhitaji hawezi kuwa kero kwako kila muda na wala hawezi kuwa mtu wa makasiriko kwa kila utendalo, iko hivi mkiwa mnahitajiana na mtu iwe mpenzi, ndugu, rafiki huwa kuna balance ya kuchukulia uzito makosa ya mwingine mpaka pale mmoja atakapovuka mstari wa uvumilivu, ndipo pale sasa unaonekana kero kwa kila utendalo.
Ukicheka atahisi unamtusi na ukikaa kimya utaonekana kiburi, hapo huna namna acha mambo yaende naturally huwezi badili kitu, muache aende labda awe mzazi😅.
Kwahiyo ni heri kumkaushia kwa muda maana kanikosea, ila ananiambia mimi ndiyo nilimuudhi na sijaomba msamaha Kwahiyo kanuna
 
Watu ambao anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa.

Ukimfanyia kitu kidogo tu anakikuza kiwe kikubwa na kukasirika sana.

Mtu ambaye yeye akikosea anaweza hata asiombe msamaha.

Mtu ambaye anakasirishwa na vitu vidogo, huwa mnaishi vipi na watu kama hawa nipate idea🤔
Nawe mfanyie kama anavyokufanyia
 
Back
Top Bottom