Watu wa aina hii huwa mnaishi nao vipi?

Watu wa aina hii huwa mnaishi nao vipi?

Wanaitwa watu wenye vichwa vigumu & wasiopenda maelewano.
Wanaongozwa na roho ya mashindano.

Kuishi nao ,kwanza waachie uhuru wao lakini usikubali kushindwa . Waonyeshe ujasiri wako.

Weka like yako hapa kama umekubali
Hapo usipokubali kushindwa nayo pia ni kosa kwao
 
Mgeuzie kibao umfanye yey ndo aanze kukufukuzia.
  • fanya kama humjari sana. Ata akipga sim usipokee mpgie baadae na maneno yacwe meng mwambie npo busy ntakuchek na ucmtafte tena. Had akutafte yey..
  • jikipu busy to making your life yey awe kama ziada tu, make kila mtu anamapungufu. Ila ukigundua anamtu kimbia
Asante nitafanyia kazi hii
 
Nawajua vyema watu wa hivyo na nilishawakataa karibu yangu. Kila kitu kinachomtokea kimesababishwa na mtu mwingine, na wanakuaga wanafki na wachonganishi sana kuwa makini nae. Na kujifanya wapole na friendly.
Mtoe karibu yako utakuja kujuta nae siku
Asante mkuu, asipochange nitaanza kujitoa taratibu kabisa
 
Watu ambao anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa.

Ukimfanyia kitu kidogo tu anakikuza kiwe kikubwa na kukasirika sana.

Mtu ambaye yeye akikosea anaweza hata asiombe msamaha.

Mtu ambaye anakasirishwa na vitu vidogo, huwa mnaishi vipi na watu kama hawa nipate idea🤔
Hayo yote Yana dalili zake ktk uchumba.
Tatizo penzi lilikufumba macho ukaacha jukumu la kuitauta kesho yako kwake (maisha unayoyataka kihali).
Kaa na mumeo mweleze ,atakasirika ila usirudi nyuma ktk ukweli.
 
Hayo yote Yana dalili zake ktk uchumba.
Tatizo penzi lilikufumba macho ukaacha jukumu la kuitauta kesho yako kwake (maisha unayoyataka kihali).
Kaa na mumeo mweleze ,atakasirika ila usirudi nyuma ktk ukweli.
Huyu mtu bado hajawa mume ndiyo maana naomba ideas nione kama huwa wanaweza kubadilika au lah
 
Huyu mtu bado hajawa mume ndiyo maana naomba ideas nione kama huwa wanaweza kubadilika au lah
Kuna motive ya hilo na jua tu thamani yako imepungua yaani humaanishi life partner kwake. Hizo tabia hawezimuonesha boss wake kazini au wazazi wake.
Sema naye kwa kauli iliyonyooka ,subiri matokeo
 
Kuna motive ya hilo na jua tu thamani yako imepungua yaani humaanishi life partner kwake. Hizo tabia hawezimuonesha boss wake kazini au wazazi wake.
Sema naye kwa kauli iliyonyooka ,subiri matokeo
Sawa mkuu nitafanya hivyo asipo jirekebisha basi
 
Back
Top Bottom