Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
- #141
Sawa mkuuMambo ambayo hayakusaidii katika maisha, achana nayo. Hasa hasa yanayohamasisha uhasama na chuki, tupia kule. Utakuja kunishukuru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuMambo ambayo hayakusaidii katika maisha, achana nayo. Hasa hasa yanayohamasisha uhasama na chuki, tupia kule. Utakuja kunishukuru.
Wala hajalelewa hivyo sijui ana shida ganiAtakuwa alilelewa Ki-malkia huyo.
Ndiyo maana na mimi nimeanza kukasirika hovyo kumbeWatu wa aina hiyo si watu wazuri kwakweli, hujikuta wakamilifu sana yaani usikosee hata kidogo. Mimi watu wa aina hii nawaambia Kwa maneno makavu kabisa na hata kutengana naweza nikafanya sijali chochote kile, Kuna mambo mengi ya kufanya. Athari yake hiyo ni kuzaa chuki Kali Kila mnapoendelea kuonana ama kuishi pamoja na kama emotional intelligence yako si nzuri anaweza akakuambukiza mkawa mnafanana.
Kabisa.Hisia zinaambukiza. Mfano mdogo mtu akija kwako anaongea nawe huku ana smile 😃 😊 😀 nawe uta smile 😃 😊 😀 hata kama hujasikia vizuri anachoongea
Nashangaa sana huwa nikimwambia kwanini anapenda kukuza vitu vidogo anapanicKabisa ... wanakuwaga toxic sana watu wa aina hii. Na ni ngumu wao kujikubali kwamba hiyo hali yao ni tatizo kwao na kwa wengine
Hayo mawili yote ni jibu mojaDuh! Pole sana mkuu hata nadhani atakuwa ana mtu mwingine ndiyo maana mimi ananifanyia hivi au kanizoea sana
Nasikitika kusikia hivi, ngoja nimkaushie kwanza kwa mudaHayo mawili yote ni jibu moja
Huyo ndio wale kwao wanachukuliwa kama special kid. Kazi unayoWala hajalelewa hivyo sijui ana shida gani
Asante sana Khamis ntajitahidi 😢Kwa ufupi tu "Achana na mapenzi".
Duh! Hapa naona hatutafika mbaliHuyo ndio wale kwao wanachukuliwa kama special kid. Kazi unayo
Nawajua vyema watu wa hivyo na nilishawakataa karibu yangu. Kila kitu kinachomtokea kimesababishwa na mtu mwingine, na wanakuaga wanafki na wachonganishi sana kuwa makini nae. Na kujifanya wapole na friendly.Yaani ukimkosea hilo kosa ataliongelea hadi siku nyingine
Kumbe ni mwanaume? Achana na hiyo psycho itakudrain energy yako.Duh! Hapa naona hatutafika mbali
Mgeuzie kibao umfanye yey ndo aanze kukufukuzia.Nasikitika kusikia hivi, ngoja nimkaushie kwanza kwa muda
Ubinafsi na ubabe unawafanya wajione wao ni muhimu sana na wenye akili kuzidi wengine.Kosa kuu huwa hiliSasa kwanini huwa wana hivi visa vya ajabu ajabu
Kama ukiweza kumchukulia jinsi alivyo mnaweza kufika mbaliDuh! Hapa naona hatutafika mbal
Watu ambao anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa.
Ukimfanyia kitu kidogo tu anakikuza kiwe kikubwa na kukasirika sana.
Mtu ambaye yeye akikosea anaweza hata asiombe msamaha.
Mtu ambaye anakasirishwa na vitu vidogo, huwa mnaishi vipi na watu kama
ltakuwa wewe ni jirani yangu kabisa, yaani umejuaje hizo tabia zote za mke wangu! 😂Watu ambao anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa.
Ukimfanyia kitu kidogo tu anakikuza kiwe kikubwa na kukasirika sana.
Mtu ambaye yeye akikosea anaweza hata asiombe msamaha.
Mtu ambaye anakasirishwa na vitu vidogo, huwa mnaishi vipi na watu kama hawa nipate idea🤔
Mkeo ni shoga angu hajakwambia😁😁ltakuwa wewe ni jirani yangu kabisa, yaani umejuaje hizo tabia zote za mke wangu! 😂