Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
- #21
Kwahiyo unanishauri niachane nae mkuu?Geuza sentensi yangu,Atakugeuza mtumwa.Vinginevyo akikasirika mpuuze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unanishauri niachane nae mkuu?Geuza sentensi yangu,Atakugeuza mtumwa.Vinginevyo akikasirika mpuuze.
Usijiingize jela mwenyewe,Kaa kimachale.Hapo nimemuelewa, ngoja niendelee kukusanya makosa sasa
Nilikuwa sijaona vizuri mkuu akiendelea hivi ntapiga chini ngoja nimsikilizieSoma kuelewa sio kujibu
Usiachane nae ghafla ila kama hili tukio limejirudia zaidi ya mara tano jitoe,,ila ukijutoa jiandae kusumbuliwa sana.ANAONA UNAMPENDA SAANA.Kwahiyo unanishauri niachane nae mkuu?
Mnakera aisee, mimi hadi nimechoka aisee🥲🙌Kwahiyo mnataka mtuue ili muishi wenyewe duniani!, tuwaachie dunia yenu sasa muishi wenyewe tumechoka na masimango yenu waoneni na sura zenu mbaya!..🤣
Basi hizi zinaitwa ''red flags''. Mkioana ndiyo mambo yatazidi kuwa mabaya. Hapa na assume kuwa wewe siyo tatizo. Nasema hivi kwa sababu wanawake wengi wa Bongo, hawa wa kileo, waliokwenda vyuoni, hawajui kitu kinaitwa kuwa submissive. Hili ni somo pana sana na mwanamke anayejui kuitumia vizuri hii kanuni, wapenzi wao wanatulia na kuwapenda sana. Mwanaume by nature ni kiumbe anayetaka mwenza wake awe submissive. PS: simaanishi kuwa mjinga na kukubali kila kitu, hapana.Ni mpenzi tu
Niliwahi kuwa na manzi wa hivi, tena ni anajiweza mdomoni na mimi ni dhaifu kuongea aiseeee nilimkimbiaaa spidi 120.Watu ambao anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa.
Ukimfanyia kitu kidogo tu anakikuza kiwe kikubwa na kukasirika sana.
Mtu ambaye yeye akikosea anaweza hata asiombe msamaha.
Mtu ambaye anakasirishwa na vitu vidogo, huwa mnaishi vipi na watu kama hawa nipate idea🤔
mtuue tu sasa!Mnakera aisee, mimi hadi nimechoka aisee🥲🙌
Usinganganie kabisa Piga Chini kenge uyo kwanini wadada huwa hamsikii aisee, Huyo kuna red flags kibao kuwa Umechokwa apo.Kwahiyo ni heri kumkaushia kwa muda maana kanikosea, ila ananiambia mimi ndiyo nilimuudhi na sijaomba msamaha Kwahiyo kanuna
Mh! Wanawake walivyojaa aanze kunisumbua mimi, sidhaniUsiachane nae ghafla ila kama hili tukio limejirudia zaidi ya mara tano jitoe,,ila ukijutoa jiandae kusumbuliwa sana.ANAONA UNAMPENDA SAANA.
Badilikeni aisee mnatuchoshamtuue tu sasa!
pambana na jini lako dada..🤣Badilikeni aisee mnatuchosha
Niamini Mimi,mbona hayuko nao waliojaa yupo na wewe.Ngoma yataka mataoMh! Wanawake walivyojaa aanze kunisumbua mimi, sidhani
Kama Unamsikilizia Basi huna Nguvu ya Kumuacha endelea kungangania tu mana Kenge huwa hasikii mpaka atoke damu masikioniNilikuwa sijaona vizuri mkuu akiendelea hivi ntapiga chini ngoja nimsikilizie
Wababe na wakikosea wanajitutumua na kujificha na kosa,kuna vitu hujuvunia.Kwa kidhungu inaitwa Gaslighting na inatumika sana na watu wanaitwa Narcissist. Ukiweza kugoogke tabia za hao watu ukawajua kiundani utaamua mwenyewe uishi nae au upige chini. Ila pole sana
Binti,Yeye ni mwanaume mimi mwanamke