Watu wa aina hii huwa mnaishi nao vipi?

Watu wa aina hii huwa mnaishi nao vipi?

Ni mpenzi tu
Basi hizi zinaitwa ''red flags''. Mkioana ndiyo mambo yatazidi kuwa mabaya. Hapa na assume kuwa wewe siyo tatizo. Nasema hivi kwa sababu wanawake wengi wa Bongo, hawa wa kileo, waliokwenda vyuoni, hawajui kitu kinaitwa kuwa submissive. Hili ni somo pana sana na mwanamke anayejui kuitumia vizuri hii kanuni, wapenzi wao wanatulia na kuwapenda sana. Mwanaume by nature ni kiumbe anayetaka mwenza wake awe submissive. PS: simaanishi kuwa mjinga na kukubali kila kitu, hapana.
 
Watu ambao anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa.

Ukimfanyia kitu kidogo tu anakikuza kiwe kikubwa na kukasirika sana.

Mtu ambaye yeye akikosea anaweza hata asiombe msamaha.

Mtu ambaye anakasirishwa na vitu vidogo, huwa mnaishi vipi na watu kama hawa nipate idea🤔
Niliwahi kuwa na manzi wa hivi, tena ni anajiweza mdomoni na mimi ni dhaifu kuongea aiseeee nilimkimbiaaa spidi 120.
 
Back
Top Bottom