Watu wa aina hii huwa mnaishi nao vipi?

Watu wa aina hii huwa mnaishi nao vipi?

Kama umetafuta kila namna ya kuweka mambo sawa na bado haijawa sawa, kwa afya yako ya akili na kwa utulivu wako wa moyo nakushauri achana naye.

Ukishaachana naye tulia kwa muda, usitake kujionyesha kwamba nawe ni wa thamani sana hivyo unagombaniwa. Tulia jipe miezi hata 3 kisha anza safari yako nyengine.

Lakini kubali kuwa ukshiachana naye kwa kiasi fulani utajihisi maumivu, yavumilie na yatakwisha, na njia hii ukiifuata ndiyo njia sahihi.
Asante sana mkuu, ikitokea ikashindikana nitakuwa tu mwenyewe maana unaweza kuanzisha mahusiano na mwengine ikawa afadhali ulipotoka
 
Hapa ananikosea sana itabidi ni balance mambo asione kama mimi ndo namuhitaji sana
Hakika,Nsema hivi sababu nipo kwenye situation kama yako nilikuwa na mwanamke kama huyo Sasa ni kipindi ambacho anakumbuka kwamba alinikosea.Nami sitaki anisogelee na hawezi hata kuniomba uroda maana nlikuwa nikimuomba ni kama natafuta Uraisi.
 
Kwahiyo ni heri kumkaushia kwa muda maana kanikosea, ila ananiambia mimi ndiyo nilimuudhi na sijaomba msamaha Kwahiyo kanuna
Kama ni mwanaume na ananuna nuna huyo ashaanza kukuchukulia poa.
Ukiwa mjanja unakausha, kula buyu kali hadi huo mnuno wake uishe.
 
Hakika,Nsema hivi sababu nipo kwenye situation kama yako nilikuwa na mwanamke kama huyo Sasa ni kipindi ambacho anakumbuka kwamba alinikosea.Nami sitaki anisogelee na hawezi hata kuniomba uroda maana nlikuwa nikimuomba ni kama natafuta Uraisi.
Duh! Huyo alikuwa hatari sana pole mkuu
 
Watu ambao anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa.

Ukimfanyia kitu kidogo tu anakikuza kiwe kikubwa na kukasirika sana.

Mtu ambaye yeye akikosea anaweza hata asiombe msamaha.

Mtu ambaye anakasirishwa na vitu vidogo, huwa mnaishi vipi na watu kama hawa nipate idea🤔
Ongea nae mpenzi wako huyo , lakini 200% , wewe kwake hauna umuhimu wowote yaani uwepo wako kwenye maisha yake hauonekani na means hauna faida kwake na haujaonheza kitu chochote , always tunawachukulia poa wale wasio na umuhimu ndio visa vya namna hiyo hujitokeza, na zaidi ya hapo utapigwa matukio mpaka uchanganyikiwe
 
Hao watu ni mimi kwanza niliachwa few months ago kisa siwezi omba msamaha na kweli me mgumu sana kuomba msamaha wala kukubali mtupe msaada wa kiroho
 
Ongea nae mpenzi wako huyo , lakini 200% , wewe kwake hauna umuhimu wowote yaani uwepo wako kwenye maisha yake hauonekani na means hauna faida kwake na haujaonheza kitu chochote , always tunawachukulia poa wale wasio na umuhimu ndio visa vya namna hiyo hujitokeza, na zaidi ya hapo utapigwa matukio mpaka uchanganyikiwe
Duh! Kumbe ndiyo maana ananifanyia hivi
 
Duh! Huyo alikuwa hatari sana pole mkuu
Ni hatari sana nilihama kabisa Sasa kuna baadhi ya nyaraka zangu zilibaki kwake,nikawa nashughulikia mambo fulani ya kifedha kumwuliza akasema hazipo.Pale ndo nkajua like jini bahati nikaomba watu wa kazini nilipoacha wanitafutie zingine.Utamu upo hapa.
 
anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa.
Hii kitaalam tunaita GG au BOTH TEAM TO SCORE. Hii ndo defense mechanism yangu kubwa sana kwa Manzi, siku zote huwa natafuta kubalance mzani🤔
 
Kuna ID's za 2024 na 2025 za moto sana,,,, ! Uzi kila siku, ama kwa siku uzi kadhaa ,,, content ngono /mahusiano! Nn shida ? Mkiona mahusiano hayakupendi achana nayo fanya mengine
Kwani ni dhambi mtu kutoa maoni yake mdau?
 
Hao watu ni mimi kwanza niliachwa few months ago kisa siwezi omba msamaha na kweli me mgumu sana kuomba msamaha wala kukubali mtupe msaada wa kiroho
Pole sana jifunze kuomba msamaha unapokosea
 
Duh! Kumbe ndiyo maana ananifanyia hivi
Ndio majibu wala usizunguke na labda kuna kitu ulikifanya ndio mfululizo wa visasi unapata haki yako , wewe si muhimu kwake na ndio maana ukiomba muongelee mambo hayo ana act kua busy Sana , yaani hauna potential kwake na mara nyingi wewe ndio ulianzisha so yeye anamalizia tu
 
Kuna ID's za 2024 na 2025 za moto sana,,,, ! Uzi kila siku, ama kwa siku uzi kadhaa ,,, content ngono /mahusiano! Nn shida ? Mkiona mahusiano hayakupendi achana nayo fanya mengine
Kwani umeitwa hapa mkuu, si uende huko kwenye siasa
 
Ndio majibu wala usizunguke na labda kuna kitu ulikifanya ndio mfululizo wa visasi unapata haki yako , wewe si muhimu kwake na ndio maana ukiomba muongelee mambo hayo ana act kua busy Sana , yaani hauna potential kwake na mara nyingi wewe ndio ulianzisha so yeye anamalizia tu
Hapo sasa umenifahamisha kitu ngoja nianze kukifanyia kazi
 
Back
Top Bottom