Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
- #81
Mnatukosea sana aisee kuomba msamaha unapokosea ni muhimu jitahidini muwe mnafanya hivyoHii kitaalam tunaita GG au BOTH TEAM TO SCORE. Hii ndo defense mechanism yangu kubwa sana kwa Manzi, siku zote huwa natafuta kubalance mzani🤔