hsnaturalfertility
JF-Expert Member
- May 14, 2022
- 399
- 992
Kwanza hawa watu hawana feelings wala emotions, huwa wapo mahali kwa interest maalum, atakuambia anakupenda kumbe story, siku akipata anachokitaka ndio utajua alikua hakupendi.Wababe na wakikosea wanajitutumua na kujificha na kosa,kuna vitu hujuvunia.