Watu wa Arusha jamii ya Wameru wana utaratibu mzuri wa Kuwafunda Mabinti zao kuwa Wanawake bora kwenye Familia

Watanga wachafu, wameru hadi raha, super clean
 
Mimi Sio Mmeru ila hata vijana wa Kimeru wanawaogopa sana dada zao
Hili ndio nilitaka niwambie.....Ukweli ni Kwamba Wasichana wa kimeru wanawachukua sana Kaka zao, na wanawadharau mno.

Hii imetokana na mira zao na tamaduni. Kwa nini?

Familia za kimeru zinaupendeleo sana kwa Watoto wa kiume. Watoto wa kiume ndio wanaorithi Mali, Ndio hupendwa zaidi hata kama hawana akili hata kama hawana cha maana wanachofanya kwenye familia.

Hii imepelekea uhasama Mkubwa kati ya Watoto wakike na Kaka zao.

Kwa sababu hiyo watoto wa kiume hawajitumi kutafuta hela wala kuhangaika sana.

Wadada wa Meru wanamini Vijana wa huko ni Marioo tu. Ndio chanzo cha dharau.

Kwa hiyo usitafute ushauri kutoka kwa kijana wa Arusha kuhusu Wameru atakwambia hawafai
 
Mmeru suala la kuachika halipendi kwani binti akizaa kabla hajaolewa haolewi tena na Mmeru mwenzake
 
Okay….. Nawaambiaga watu pattern ya tabia inayoonekana katika jamii fulani lazima ina mzizi wake ambapo huo mzizi utapelekea kuwepo na vitabia vya kufanana kwa jamii husika generation to generations.

Now this makes sense, Nimeelewa kwanini wanawake wa kimeru wako aggressive!
 
Hata mimi sikuwa najua. Mpaka nilipofanya utafiti nikaja na hii conclusion.
 
na 9.

wangewambia walambe ifanyavyo mbwa jike kitambaa anaweza weka upupu akajifanya alianika kitambaa nje
 
Hayo yote uliyotaja babe wangu SweetyCandy ameshayapitia. Kwa sasa anasubiria tu watu kualikwa ukumbini, na kucheza live ule wimbo wa Shaban Madobe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…