Watu wa Arusha jamii ya Wameru wana utaratibu mzuri wa Kuwafunda Mabinti zao kuwa Wanawake bora kwenye Familia

Dah hii hatari sasa,mpk mnasema bora ya mchaga basi hapo kuna shida kweli...
 
Mkuu asante sana,niamini nachosema.Hapa nipo Tengeru,nimeishi huku 10 years, nimeona nimejifunza. Mara mia uwe karibu na Mchagga tena ni waelewa na upendo wanao

For sure
Wachaga πŸ’―πŸ’―ni good neighbors mapungufu yatakuwepo but they are good
 
Kweli shubiri tamu!!
 
Refer comment #45
 
Tena wako poa tu ni vile we mwenyewe utakavyotaka kuishi nao
Rafiki zangu wa kichaga wote walikuwa na faida kwangu ingawa wanapenda ku gossip sio poa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚lazima usikie "eti"
Kuna mmoja ila alikuwa mwanamke aliniambia ili tuwe marafiki lazima tuwe tunawasema sema watu
Sasa yeye hata mkiwa njiani utasikia "yule hadi ananenepa vile akili ilikuwa wapi"πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
 
Pamoja na mbwembwe zoote za mafunzo kaoe mwanamke wa kimeru ndio utakuwa hujui
 
Hata ukinipa bure na hekali 3 za shamba mmeru sioi. Nipo meru mwaka wa 14 Sasa unajua A to Z kuhusu wameru.
Ndo maana Alexander Mnyeti DC wa amani Arumeru aliwahi Sema, ukikutana na nyoka na mmeru polini, ua mmeru Acha nyoka aende zake.
 
Pamoja na mbwembwe zoote za mafunzo kaoe mwanamke wa kimeru ndio utakuwa hujui
Mimi ninaye huu mwaka wa tano
Hata ukinipa bure na hekali 3 za shamba mmeru sioi. Nipo meru mwaka wa 14 Sasa unajua A to Z kuhusu wameru.
Ndo maana Alexander Mnyeti DC wa amani Arumeru aliwahi Sema, ukikutana na nyoka na mmeru polini, ua mmeru Acha nyoka aende zake.
Alexander ni miongoni mwa wanaume wasio na sifa. Soma comment #45
 
Reactions: apk
Hahahaha
 
Uislamu ni mfumo wa maisha ya mwanadamu na umetuelekeza kila kitu katika maisha yetu, hivyo hao wameru wa arusha kama sio waislamu ni kazi bure tu, pamoja na yote hayo unayowasifia ila bado wapo katika ujahili.
 
Labda wanawafundisha ukorofi au hawaelewi wanachofundishwa, ni wakorofi, katili na wajuaji, sio ndoa material kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…