Watu wa Arusha jamii ya Wameru wana utaratibu mzuri wa Kuwafunda Mabinti zao kuwa Wanawake bora kwenye Familia

Watu wa Arusha jamii ya Wameru wana utaratibu mzuri wa Kuwafunda Mabinti zao kuwa Wanawake bora kwenye Familia

Nilishawahi kuwa na mmeru Tena alinipenda mwenyewe ,niliachana nae sikupenda swaga zake kama mwanaume ,ule uhuni wao wa Arusha haswa lugha ilikuwa inanichefua sana akiongea.

Sasa sister wake alimkata mumewe kweny koo ila jamaa hajafa ni mmeru mwenzie ...kipind Niko dsm alinikutanisha na ndugu zake ,wengi Wana ngeu kama majambazi .


Huyu mwanamke alikuwa mzuri sana.
 
Hili ndio nilitaka niwambie.....Ukweli ni Kwamba Wasichana wa kimeru wanawachukua sana Kaka zao, na wanawadharau mno.

Hii imetokana na mira zao na tamaduni. Kwa nini?

Familia za kimeru zinaupendeleo sana kwa Watoto wa kiume. Watoto wa kiume ndio wanaorithi Mali, Ndio hupendwa zaidi hata kama hawana akili hata kama hawana cha maana wanachofanya kwenye familia.

Hii imepelekea uhasama Mkubwa kati ya Watoto wakike na Kaka zao.

Kwa sababu hiyo watoto wa kiume hawajitumi kutafuta hela wala kuhangaika sana.

Wadada wa Meru wanamini Vijana wa huko ni Marioo tu. Ndio chanzo cha dharau.

Kwa hiyo usitafute ushauri kutoka kwa kijana wa Arusha kuhusu Wameru atakwambia hawafai
Hii scenario ni sawa kabisa na wakurya
 
Nilishawahi kuwa na mmeru Tena alinipenda mwenyewe ,niliachana nae sikupenda swaga zake kama mwanaume ,ule uhuni wao wa Arusha haswa lugha ilikuwa inanichefua sana akiongea.

Sasa sister wake alimkata mumewe kweny koo ila jamaa hajafa ni mmeru mwenzie ...kipind Niko dsm alinikutanisha na ndugu zake ,wengi Wana ngeu kama majambazi .


Huyu mwanamke alikuwa mzuri sana.
Kaka Mmeru kwa Mmeru haziivi.
Wadada wengi hawajaolewa. Ukiuliza kwanini wanasema Arusha hakuna Wanaume kuna Marioo tu
 
Sasa hayo yote mbona ukienda tanga utayapata tena na zaidi na wanawake wa tanga siyo wakali kama hao wameru, kwanza nimeshangaa yani ndio nasikia kwa mara ya kwanza mtu anasema wanawake wa kimeru ni wakali kidogo, wakati miaka yote nimekuwa nikisikia wameru ni moja ya makabila ambayo wanawake wake ni wakali na wana roho mbaya pamoja na uzuri walionao
Kumbe we ni mtanga😂, bila shaka ni msambaa
 
Hakika mapenzi ni upofu,na upendo husitiri wingi wa madhaifu.
 
Kaka Mmeru kwa Mmeru haziivi.
Wadada wengi hawajaolewa. Ukiuliza kwanini wanasema Arusha hakuna Wanaume kuna Marioo tu
Tatizo mirungu ...Wanaokula mirungu hata hapa Tanga ni watu w hovyo ,kazi hawataki ,kupenda stori za utajiri tu.
 
Tatizo mirungu ...Wanaokula mirungu hata hapa Tanga ni watu w hovyo ,kazi hawataki ,kupenda stori za utajiri tu.
Ndio inspiration speakers.....kwa maneno ukiwapinga wanasema your are negative wakati wewe unawaambia Reality
 
Mmeru mie nawakubali kwa tabia zao za kibabe, nilipenda niwe na mwanamke mbabe ambaye Kila siku tunawashiana moto baadaye ama muda kidogo tu tunacheka Kama sio sie tulikuwa tunagombana vile
 
Mmeru mie nawakubali kwa tabia zao za kibabe, nilipenda niwe na mwanamke mbabe ambaye Kila siku tunawashiana moto baadaye ama muda kidogo tu tunacheka Kama sio sie tulikuwa tunagombana vile
Wako poa sana. Na for your information ukiwa sio wa kabila lao they are very submissive......wanapenda sana kudinyana hasa kama anakupenda utachoka wewe tu
 
Declaration of Interest: Mimi nimeoa mmeru Arusha Town.

Pamoja na mapungufu madogo madogo kwenye jamii ya watu wa Arusha bado ni jamii bora sana kama unataka Mke wa kujenga familia na Taifa kwa ujumla.

Ustawi wa Wanao na Ukoo wako ktk Jamii hutegemea sana malezi mazuri kwa Watoto wako kutoka kwa Mama yao. Hii haiwahusu kataa ndoa.

Baada ya kuwa mwenyeji ndani ya Jiji la Arusha na kupata interaction kubwa ninejifunza mambo mengi kuhusu jamii hii. Ni watu wema, watu wazuri.

Bila kusahau Wasichana wao ni wazuri pia. Sema wana ukali kidogo, ni vema ukawavumilia maana ndivyo walivyo na huwezi kubadilisha. Ni sawa na mskuma kupenda sura nyeupe.

Basi bwana wakanisimulia mafunzo wanayopewa wadada wanaotarajiwa kuolewa. Kama ifuatavyo.

1. Mwanamke anajifunza uvumilivu ktk ndoa
2. Mwanamke anajifunza kuongea maneno machache, asijibizane na mumewe.
3. Mwanamke anafundishwa akiambiwa habari zinazohusu mume wake basi azidharau na kuendelea na maisha yake.

5. Mwanamke ni kosa kubwa akitembelewa na Wakwe au ndugu wa Mume kupika maharage, ni jinai kabisa.
6. Binti wa Kimeru akimpa kitu mtu wa heshime apige goti, abonyee kidogo.
7. Ukimpa maji Mune wako au unabeba chakula hakikisha unaweka kwenye sinia au kisosi, sio na mikoni yako umeshika likikombe unampa.

8. Mkimaliza tendo Mwanamke ahakikishe anausafisha mwiko kabla ukoko haujakauka, na Sufuria lioshwe on the spot.

Yapo mengine mazuri wengine mtaongezea
Bro...wewe umebahatika kupata mke. Wameru wana sifa mbaya sana linapokuja suala la ndoa.
Katoe sadaka kabisani maana umeokota dodo.
 
Uzoefu ninao mkubwa sana tena wa miaka 10.Ni jamii ya hovyo sijapata kuona.Jeuri,kiburi,dharau,ugomvi,hasira zisizo za msingi muda wote.Ni wajinga jinga hivi na ubinafsi wa hali ya juu wote.Kuanzia dada zao mpaka kaka zao.
Naripoti toka Tengeru hapa mkuu,najua ninachokisema
Upo sahihi
 
Bro...wewe umebahatika kupata mke. Wameru wana sifa mbaya sana linapokuja suala la ndoa.
Katoe sadaka kabisani maana umeokota dodo.
Mweee......we pia una uzoefu nao.

Hata hivyo ni vizuri kuchanganya kabila ili kuleta kizazi bora ktk uzao wako.

Sio mnyachusa unajaza wanyachusa wenzako.
 
Huwezi
Declaration of Interest: Mimi nimeoa mmeru Arusha Town.

Pamoja na mapungufu madogo madogo kwenye jamii ya watu wa Arusha bado ni jamii bora sana kama unataka Mke wa kujenga familia na Taifa kwa ujumla.

Ustawi wa Wanao na Ukoo wako ktk Jamii hutegemea sana malezi mazuri kwa Watoto wako kutoka kwa Mama yao. Hii haiwahusu kataa ndoa.

Baada ya kuwa mwenyeji ndani ya Jiji la Arusha na kupata interaction kubwa ninejifunza mambo mengi kuhusu jamii hii. Ni watu wema, watu wazuri.

Bila kusahau Wasichana wao ni wazuri pia. Sema wana ukali kidogo, ni vema ukawavumilia maana ndivyo walivyo na huwezi kubadilisha. Ni sawa na mskuma kupenda sura nyeupe.

Basi bwana wakanisimulia mafunzo wanayopewa wadada wanaotarajiwa kuolewa. Kama ifuatavyo.

1. Mwanamke anajifunza uvumilivu ktk ndoa
2. Mwanamke anajifunza kuongea maneno machache, asijibizane na mumewe.
3. Mwanamke anafundishwa akiambiwa habari zinazohusu mume wake basi azidharau na kuendelea na maisha yake.

5. Mwanamke ni kosa kubwa akitembelewa na Wakwe au ndugu wa Mume kupika maharage, ni jinai kabisa.
6. Binti wa Kimeru akimpa kitu mtu wa heshime apige goti, abonyee kidogo.
7. Ukimpa maji Mune wako au unabeba chakula hakikisha unaweka kwenye sinia au kisosi, sio na mikoni yako umeshika likikombe unampa.

8. Mkimaliza tendo Mwanamke ahakikishe anausafisha mwiko kabla ukoko haujakauka, na Sufuria lioshwe on the spot.

Yapo mengine mazuri wengine mtaongezea
Nakupa miaka 17 utakuwa ushalala mavumbini chalii angu hawo sio wanawake
 
Back
Top Bottom