Watu wa Arusha jamii ya Wameru wana utaratibu mzuri wa Kuwafunda Mabinti zao kuwa Wanawake bora kwenye Familia

Watu wa Arusha jamii ya Wameru wana utaratibu mzuri wa Kuwafunda Mabinti zao kuwa Wanawake bora kwenye Familia

Utakuwa unapigwa makofi sana wewe, hakuna jamii ya kitanzania tofauti na wao kwa wao wanaweza wakaoa mwanamke mmeru au mwanamke akaolewa na kijana wa wakimeru ni wapuuzi, wajingawajinga, ubinafsi,ujuaji, ukabila ndio kabisa umeota mizizi. Tz Nzima jamii ya hovyoo ni hawa wameru, lugha chafu iwe baba kwa mtoto au mtoto kwa baba hovyoo kabisa. Nipo hapa singisi walipolima LAMI!
Namimi nahisi jamaa kkeshakalishwa ndo maana anasema hivi
 
Mapenzi yenyewe hawajui, zaidi utaambulia kununua k vant na konyagi anywe kila siku..... Hana la maana zaidi ulevi na ndio wauzaji wa nyapu pale SHIVAZII.
Kama ni kuuza Wasukuma wanauza sana, Wahaya, Warangi ndio usiseme, Wahehe balaa, Wasandawe na wazaramo ndio mbwa kabisa.

So hii sio hoja.
 
Utakuwa unapigwa makofi sana wewe, hakuna jamii ya kitanzania tofauti na wao kwa wao wanaweza wakaoa mwanamke mmeru au mwanamke akaolewa na kijana wa wakimeru ni wapuuzi, wajingawajinga, ubinafsi,ujuaji, ukabila ndio kabisa umeota mizizi. Tz Nzima jamii ya hovyoo ni hawa wameru, lugha chafu iwe baba kwa mtoto au mtoto kwa baba hovyoo kabisa. Nipo hapa singisi walipolima LAMI!
Mkuu walikuhutua nini? Si kwa hizo hasira
 
Declaration of Interest: Mimi nimeoa mmeru Arusha Town.

Pamoja na mapungufu madogo madogo kwenye jamii ya watu wa Arusha bado ni jamii bora sana kama unataka Mke wa kujenga familia na Taifa kwa ujumla.

Ustawi wa Wanao na Ukoo wako ktk Jamii hutegemea sana malezi mazuri kwa Watoto wako kutoka kwa Mama yao. Hii haiwahusu kataa ndoa.

Baada ya kuwa mwenyeji ndani ya Jiji la Arusha na kupata interaction kubwa ninejifunza mambo mengi kuhusu jamii hii. Ni watu wema, watu wazuri.

Bila kusahau Wasichana wao ni wazuri pia. Sema wana ukali kidogo, ni vema ukawavumilia maana ndivyo walivyo na huwezi kubadilisha. Ni sawa na mskuma kupenda sura nyeupe.

Basi bwana wakanisimulia mafunzo wanayopewa wadada wanaotarajiwa kuolewa. Kama ifuatavyo.

1. Mwanamke anajifunza uvumilivu ktk ndoa
2. Mwanamke anajifunza kuongea maneno machache, asijibizane na mumewe.
3. Mwanamke anafundishwa akiambiwa habari zinazohusu mume wake basi azidharau na kuendelea na maisha yake.

5. Mwanamke ni kosa kubwa akitembelewa na Wakwe au ndugu wa Mume kupika maharage, ni jinai kabisa.
6. Binti wa Kimeru akimpa kitu mtu wa heshime apige goti, abonyee kidogo.
7. Ukimpa maji Mune wako au unabeba chakula hakikisha unaweka kwenye sinia au kisosi, sio na mikoni yako umeshika likikombe unampa.

8. Mkimaliza tendo Mwanamke ahakikishe anausafisha mwiko kabla ukoko haujakauka, na Sufuria lioshwe on the spot.

Yapo mengine mazuri wengine mtaongezea
Braza umependa kisawa sawa😀😀hongera sana
 
Mhmm..!! 😹😹
Kweli wapole sana mfano mzuri humu da Mau ni wife material..!!
 
Sawa bila shaka Siku nyingine ukinikuta nawadescribe wandengereko utasema mimi mndengereko au wamang'ati utasema mimi mmang'ati nk nk 😃😃
Hahahahah uzuri hakuna wandengereko wenye color kama yako, asante kwa kunipa code muhimu "mndee"
 
Wameru na hizi sifa ulizoweka hapa ni kama mashariki ilivyo mbali na magharibi. Advertisement ya kwanza kila alhamisi wanapandishaga kichaa. Yani mvuruge siku zingine zote za wiki ila ukijichanganya Alhamisi utajua hujui
 
Wameru na hizi sifa ulizoweka hapa ni kama mashariki ilivyo mbali na magharibi. Advertisement ya kwanza kila alhamisi wanapandishaga kichaa. Yani mvuruge siku zingine zote za wiki ila ukijichanganya Alhamisi utajua hujui
What is behind Alhamisi? Mkuu zama za leo unaamini Mambo ya hovyo kama haya?
 
Declaration of Interest: Mimi nimeoa mmeru Arusha Town.

Pamoja na mapungufu madogo madogo kwenye jamii ya watu wa Arusha bado ni jamii bora sana kama unataka Mke wa kujenga familia na Taifa kwa ujumla.

Ustawi wa Wanao na Ukoo wako ktk Jamii hutegemea sana malezi mazuri kwa Watoto wako kutoka kwa Mama yao. Hii haiwahusu kataa ndoa.

Baada ya kuwa mwenyeji ndani ya Jiji la Arusha na kupata interaction kubwa ninejifunza mambo mengi kuhusu jamii hii. Ni watu wema, watu wazuri.

Bila kusahau Wasichana wao ni wazuri pia. Sema wana ukali kidogo, ni vema ukawavumilia maana ndivyo walivyo na huwezi kubadilisha. Ni sawa na mskuma kupenda sura nyeupe.

Basi bwana wakanisimulia mafunzo wanayopewa wadada wanaotarajiwa kuolewa. Kama ifuatavyo.

1. Mwanamke anajifunza uvumilivu ktk ndoa
2. Mwanamke anajifunza kuongea maneno machache, asijibizane na mumewe.
3. Mwanamke anafundishwa akiambiwa habari zinazohusu mume wake basi azidharau na kuendelea na maisha yake.

5. Mwanamke ni kosa kubwa akitembelewa na Wakwe au ndugu wa Mume kupika maharage, ni jinai kabisa.
6. Binti wa Kimeru akimpa kitu mtu wa heshime apige goti, abonyee kidogo.
7. Ukimpa maji Mune wako au unabeba chakula hakikisha unaweka kwenye sinia au kisosi, sio na mikoni yako umeshika likikombe unampa.

8. Mkimaliza tendo Mwanamke ahakikishe anausafisha mwiko kabla ukoko haujakauka, na Sufuria lioshwe on the spot.

Yapo mengine mazuri wengine mtaongezea
Huwajui wameru wewe, kwanza wengi wamekeketwa halafu wababe ,Hawako romantic hata kidogo
 
Huwajui wameru wewe, kwanza wengi wamekeketwa halafu wababe ,Hawako romantic hata kidogo
Kukeketwa sio Hoja, Dodoma, Singida, Shinyanga, Mara, Manyara kote huko wanakeketa.

Mbunye iliyokeketwa ina Tight Miaka yote hadi anazeeka.
JApo ni ukatiri lakini wazee wanajua siri ya hii kitu
 
Siwajui sana lakini inawezekana mkawa mnahukumu jamii za watu kutokana na historia na kuwaharibia watu humu waliokuwa na mahusiano mazuri labda wangefikia hatua ya ndoa, binafsi sioni jamii ambayo imetulia,nikuomba Mungu upate mtu sahihi na si jamii aliyotoka
Jamii nyingi Tanzania ziliachana na tamaduni na mila zao..
Mojawapo ya jamii hizi na Wameru wamo!
 
Back
Top Bottom