Watu wa Dar acheni kuwatelekeza ndugu zenu stendi

Watu wa Dar acheni kuwatelekeza ndugu zenu stendi

Hao ndugu ni WA kuanzia Miaka mingapi?18 -,20 hao unawapa nauli warudi nyumbani hao wengine achana nao watachagua wenyewe wabaki mtaani au warudi nyumbani unaendaje Kwa watu eti kusalimia tu
 
Hata kama kuna uzuri wa maisha (uzuri huo una gharama) sasa swali ni kwamba hao ndugu wa huko mikoani wanaweza hizo gharama ?

Kutokana na Maelezo yako jibu ni kwamba hawawezi....; Anyway karne hii mtu anaweza kujitosheleza yeye haimaanishi mkiongezeka wawili bado atajitosheleza (unless unakuja kutoka anapotoka na Nusu Bajaji ya Mahindi, Maharage na Pesa ya Mtungi wa Gesi)
 
Kuna jamaa yangu mmojaa yupo Dar Miaka mingi sana Sasa tatizo linakuja ana ji proud sana......

Kuna siku nikmweleza nipo dar nmkuja tok majuzi kuna mishe nafatilia fanya tukutane...kiukweli sikua Dar... Jamaa
Mara safari za gafra mara visingizio kibao..

Sasa Kuna siku nikaenda Kwa mishe zangu
Nikakutana nae ubungo USO Kwa USO....
Sababu nyingiiiingi

Kimsingi ukiwa Dar be Real...ishi maisha ya uhalisia wako kua mkweli.......
 
Kuna mmoja kaniambia anakuja jumatano
Me nikakubali tu
Anzia kesho sipatikaniii
Mnavopanga safari zenu huwa mnamshirikisha nani?? Unaamua tu kwa vile flani yuko sehemu ngoja niende.unajua anapitia hali gani?? Unajiamulia tu mwenyewe
Maisha yenyewe yashaharibika tukiwalaza na watoto wetu mnawaharibu.dawa yenu ndo hyo mtaishia magufuli stend hadi mkome
Umemaliza.
 
Watu mna roho mbaya kwahiyo umeamua kunisema JF, basi ntakuja na jogoo na mchele 100kgs.
Kuna mmoja kaniambia anakuja jumatano
Me nikakubali tu
Anzia kesho sipatikaniii
Mnavopanga safari zenu huwa mnamshirikisha nani?? Unaamua tu kwa vile flani yuko sehemu ngoja niende.unajua anapitia hali gani?? Unajiamulia tu mwenyewe
Maisha yenyewe yashaharibika tukiwalaza na watoto wetu mnawaharibu.dawa yenu ndo hyo mtaishia magufuli stend hadi mkome
 
Kuna mmoja kaniambia anakuja jumatano
Me nikakubali tu
Anzia kesho sipatikaniii
Mnavopanga safari zenu huwa mnamshirikisha nani?? Unaamua tu kwa vile flani yuko sehemu ngoja niende.unajua anapitia hali gani?? Unajiamulia tu mwenyewe
Maisha yenyewe yashaharibika tukiwalaza na watoto wetu mnawaharibu.dawa yenu ndo hyo mtaishia magufuli stend hadi mkome
Miss Natafuta umenena vyema pasi na kutafuna maneno. Jina lako linaonesha umekuja mjini kutafuta. Hao wanaokuja mjini kukutafuta wewe watajiju.
 
Miss Natafuta umenena vyema pasi na kutafuna maneno. Jina lako linaonesha umekuja mjini kutafuta. Hao wanaokuja mjini kukutafuta wewe watajiju.
Mkuu mgeni akija kwako ni budget ingine ujue.akija anataka aishi kama mfalme hata nauli ya kurudia umpe wewe bado hawezi kuondoka mikono mitupu.hawako fair kabisa
 
Hata mimi niliwahi kumuacha mtu sababu ya ujinga wake. Alipofika ndio ananiambia niende nikamchukue,wakati anatoka mkoani hakuniambia.
Nikamwambia alale hapo, nitaenda kesho asubuhi kwa kuwa huku niliko kwa majira haya kuna Panya road.
Aligongwa na mbu usiku mzima nikaenda kesho saa 4 asubuhi.
Hilo lilikuwa fundisho, kwa sasa kila akitaka kuja lazima anipigie.
 
Kuna mmoja kaniambia anakuja jumatano
Me nikakubali tu
Anzia kesho sipatikaniii
Mnavopanga safari zenu huwa mnamshirikisha nani?? Unaamua tu kwa vile flani yuko sehemu ngoja niende.unajua anapitia hali gani?? Unajiamulia tu mwenyewe
Maisha yenyewe yashaharibika tukiwalaza na watoto wetu mnawaharibu.dawa yenu ndo hyo mtaishia magufuli stend hadi mkome
Kwani ukimwambia una maisha magumu itakuwaje.
 
Back
Top Bottom