Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo stend ya magufuli iko paleeeWatu wa dar mnatubagua sana wenzenu wa mkoani.
hata dar nao ni mkoaWatu wa dar mnatubagua sana wenzenu wa mkoani.
Umemaliza.Kuna mmoja kaniambia anakuja jumatano
Me nikakubali tu
Anzia kesho sipatikaniii
Mnavopanga safari zenu huwa mnamshirikisha nani?? Unaamua tu kwa vile flani yuko sehemu ngoja niende.unajua anapitia hali gani?? Unajiamulia tu mwenyewe
Maisha yenyewe yashaharibika tukiwalaza na watoto wetu mnawaharibu.dawa yenu ndo hyo mtaishia magufuli stend hadi mkome
Kuna mmoja kaniambia anakuja jumatano
Me nikakubali tu
Anzia kesho sipatikaniii
Mnavopanga safari zenu huwa mnamshirikisha nani?? Unaamua tu kwa vile flani yuko sehemu ngoja niende.unajua anapitia hali gani?? Unajiamulia tu mwenyewe
Maisha yenyewe yashaharibika tukiwalaza na watoto wetu mnawaharibu.dawa yenu ndo hyo mtaishia magufuli stend hadi mkome
Kabisa kabisaKuna mentality imeshajengeka kichwani mwa watu kuwa DAR MAISHA MAZURI na haiwezi kufutika ila ukija kiuhalisia kwa baadhi ya watu ni ngumu kumeza
Miss Natafuta umenena vyema pasi na kutafuna maneno. Jina lako linaonesha umekuja mjini kutafuta. Hao wanaokuja mjini kukutafuta wewe watajiju.Kuna mmoja kaniambia anakuja jumatano
Me nikakubali tu
Anzia kesho sipatikaniii
Mnavopanga safari zenu huwa mnamshirikisha nani?? Unaamua tu kwa vile flani yuko sehemu ngoja niende.unajua anapitia hali gani?? Unajiamulia tu mwenyewe
Maisha yenyewe yashaharibika tukiwalaza na watoto wetu mnawaharibu.dawa yenu ndo hyo mtaishia magufuli stend hadi mkome
Mkuu mgeni akija kwako ni budget ingine ujue.akija anataka aishi kama mfalme hata nauli ya kurudia umpe wewe bado hawezi kuondoka mikono mitupu.hawako fair kabisaMiss Natafuta umenena vyema pasi na kutafuna maneno. Jina lako linaonesha umekuja mjini kutafuta. Hao wanaokuja mjini kukutafuta wewe watajiju.
🤣🤣🤣Wanakuja kiboya mtu anakupigia simu ghafla "nipo chalinze nimeazima simu ya jirani yangu hapa" kwanini nisizime simu ili ujifunze
Kwani ukimwambia una maisha magumu itakuwaje.Kuna mmoja kaniambia anakuja jumatano
Me nikakubali tu
Anzia kesho sipatikaniii
Mnavopanga safari zenu huwa mnamshirikisha nani?? Unaamua tu kwa vile flani yuko sehemu ngoja niende.unajua anapitia hali gani?? Unajiamulia tu mwenyewe
Maisha yenyewe yashaharibika tukiwalaza na watoto wetu mnawaharibu.dawa yenu ndo hyo mtaishia magufuli stend hadi mkome