BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Kwa nini? Ana kipato cha kuweza kupanga?Mim kuna dada sasa hivi miezi sita nimemuambia apange kwakweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini? Ana kipato cha kuweza kupanga?Mim kuna dada sasa hivi miezi sita nimemuambia apange kwakweli
Mnatugeuza shamba Boy sio
Kama hana arudi akaishi kwaoKwa nini? Ana kipato cha kuweza kupanga?
[emoji28][emoji28][emoji28]Hata watz waliopo USA hawatuambii ukweli wa hali halisi ya maisha ya huko, kimbembe tukifika tunakuta mchizi analala kwenye kichumba hata kugeuka hageuki
Wewe umekomaa kiakili na matokeo yake unayavuna.Ndugu yako huwezi muacha stand na ukiona unashindwa kumwambia ukweli wa maisha yako ujue hapo kuna utata kwenye undugu wenu
Me nilishawah waza kumzimia sim ndugu yangu ila niliwaza sana nafsi ikanisuta nikaenda mpokea ubungo ila nikamwambia amezingua
Saiz ndugu yangu katoboa kwenye mambo ya kilimo yani hazipiti week mbili sijatumiwa vifurushi vya mazaga yani ndani mchele kibao hadi natamani kuuza
Amebaki kusema tu nilimsaidia kipindi ana shida hana kitu hawezi kunisahau, nikicheki msaada niliompa ni kufikia gheto kwangu tu akakaa wiki2 ila anayorudisha kwangu mpaka nimeanza kumuogopa sasa [emoji38][emoji28]
Duuuh kumbe hizi mishe zipo adi huko mitaa ya mbelez?! Mi nikajua ni Downtown swekeni huku bongo tu?![emoji28][emoji28][emoji28]Kiukwel hii hali sio dar pekee hata tulio nje ya tz hali hii inatupata sana ,, fikiria mtu mlikua jiran tu mmekua wote anatafuta namba yako anakupigia anasema yupo sehemu kaja kutafuta maisha ,,anaomba afikie kwako hapo hapo anakwambia yupo na rafiki yake ,,unafikiria ukiangalia unafamilia maisha yenyewe ya dollars yalivyokua high ,,,kinachofuata hapo unamblock kabisaa.
Nilichokipenda kwenye hii mada leo watu wa Dar wameamua kutoa ya moyoni na kufunguka ukweli .. safiii sana [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787] hivi haya mambo ni kweli au mnafurahisha watu humu
Ni kweli, damu nzito sana kuliko maji labda tu uwe umevamiwa na shetaniSidhani kama unaweza kumuacha ndugu yako stend,,itakuwa labda majirani zao wa huko Mbwinde
Mkuu hawatoi taarifa .wanakuja ghaflaUsiende Kwa ndugu, jamaa au rafiki bila kumtaarifu iwe Kijijini au mjini, maisha yanabadilika sana. Pia mtu akihitaji hifadhi maskani kwako Kwa muda mueleze uhalisia wako maamuzi yabaki mikononi mwake.
Mtu akija bila kutoa taarifa haijalishi ni nani... Akubali lolote litakalo mkuta asilaumu...maisha yamebadilika sana. Niko kijijini ila mgeni usije kwangu bila kunitaarifu labda kama unakuja tu kukaa masaa kidogo na kuondoka lakini kama ni kulala hata kama ni siku moja Nitaarifu kwanza, itakuwaje maisha ya mjini? Miss Natafuta pole sana kwa changamoto hiyo.Mkuu hawatoi taarifa .wanakuja ghafla