Kuna ndugu zetu walisema Mzee anataka kuja hosp
Tukawaambia sawa,ila sisi tunashinda kazini kama wanga saa 11 asbh tunaondokakurudi nj usiku saa3,hivyo kama ni kuja basi aje na kijana ambaye atamsaidia Mzee .
Wakaona tunawabania..
Kwahiyo wakaahirisha kuja kwetu..wakasafiri kimyakimya.
Kumbe kule Kaka yao alimtafuta schoolmate wake,ambaye hata walikuwa hawawasiliani...akamwambia awapokee ndugu zake hao.
Jamaa eti wamewasiliana vizuri, baadaye akapotea hewani.
Alipotea mazima.
Sisi hatuna hili wala lile,Saa2 usiku tunapigiwa simu na hao wasafiri kututaarifu kuwa wapo njiani ,tuende kuwapokea,,na wamekaribia Mbezi.
Imagine mtu hakukutafuta hata kukujulisha kama anasafiri,,anakuja kushtua tu usiku huohuo ukampokee.
Tulishakula ,tunajiandaa kulala.
Tukaanza kuhaha kupika upya,,it's tiresome.,kutafuta mboga na Nini.
Ndugu zetu wa mikoani muwe wastaarabu.