Watu wa Dar hivi supu ya maharage inakata Hangover? Au ndio kufosi mambo kwa sababu ya ugumu wa mambo?

Watu wa Dar hivi supu ya maharage inakata Hangover? Au ndio kufosi mambo kwa sababu ya ugumu wa mambo?

Vijiwe kibao vinauza eti supu ya maharage.

Unakuta watu wa Dar wanakatakata chapati na kuchanganya na maharage nao wanaona wanapata supu kukata hangover

Mbona sisi huku Igunga ni mwendo wa supu ya kuku, mbuzi n.k

Dar mbona kila kitu tabu?
Ni ugumu wa maisha aisee, unajua kila kitu ni ghali huku dar
 
Alichoongea nisawa mkuu, Ile ni animal protinna maharage Yana plant protein ambazo kisingi zinaendana, ushajiuliza ratiba za boarding kwanini walinprefer maharage na Nyama kama mlo wa wanafunzi?
Sababu maharage ni nafuu kuliko nyama au hili nalo unataka ulete siasa.
Alafu maharage sio mbadala direct wa nyama.
 
Vijiwe kibao vinauza eti supu ya maharage.

Unakuta watu wa Dar wanakatakata chapati na kuchanganya na maharage nao wanaona wanapata supu kukata hangover

Mbona sisi huku Igunga ni mwendo wa supu ya kuku, mbuzi n.k

Dar mbona kila kitu tabu?
Sasa naelewa kwa nini Wanasema Elimu na Exposure ni mambo muhimu sana.
 
Back
Top Bottom