Watu wa Gaza waanza kula majani na kunywa maji machafu

Viongozi wa hamas wamekalia utajiri wa mabilioni ya dollar huko Qatar. Kwanini wasitoe msaada?!
Isitoshe wao ndio wamesababisha haya maafa
 
Viongozi wa hamas wamekalia utajiri wa mabilioni ya dollar huko Qatar. Kwanini wasitoe msaada?!
Isitoshe wao ndio wamesababisha haya maafa
Wapitishie wapi hata kama wanayo?Hiyo ni mbinu ya Israel kumuumiza adui.Ni sehemu ya vita.
-kupiga na kuua,
-kupiga au kuua uwapendao,
-kukutesa kiakili,
-kukufanya usipate chakula,
-kukutenga na uwatakao/uwapendao nk.
Na vita iendelee.
 
Viongozi wa hamas wamekalia utajiri wa mabilioni ya dollar huko Qatar. Kwanini wasitoe msaada?!
Isitoshe wao ndio wamesababisha haya maafa
Elewa kuwa viongozi wa Hamas walio nje ya nchi ni sehemu ya uongozi wa Hamas na hakuna fisadi anayetafuta utajiri binafsi.Walio nje wanaitwa viongozi wa kisiasa na walio ndani ni sehemu ya wapambanaji wa kivitendo.
Tumesema kabla kuwa hawa jamaa wana umoja ambao ni mfano kwa nchi zote duniani hasa za kiislamu.
 
Faiza ni mwanaume si mwanamke.
 
Ukiwa na akili kama za kuku basi utaona mambo kwa mtazamo wako.
Wenye akili nzuri wako mpaka mitaani Marekani.Wanaona Hamas hana makosa na si ubinadamu kuzuia chakula kwa watu milioni kadhaa au kuvunja mahospitali kwa sababu yoyote iwayo.
Hao wanaondamana wote soon watarudishwa makwao kwanini wasifanye maandamano huko middle east au kremlini?
Halafu huko Mahospitali ndo wanakojifichia magaidi?

View: https://twitter.com/Osint613/status/1752223256277356655?t=of06BhJ5lqH7_fcgJxl9zg&s=19Hawa wote walihusika octeber 7 na netanyahu aliapa wote walioshiriki october 7 lazima wawe maiti

View: https://twitter.com/Osint613/status/1752314734286680355?t=6g3FlWjHkEVrWqNb8Q9nyw&s=19
 
Waende gaza wakapigae kama wenzao au hawataki kufanya ngono na bikra huko peponi?
 
oy tel aviv kushaanza kuwa na njaa kali pia ila vilaza hawatokaa kuelewa hilo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…