Watu wa jf wanapenda umbea kweli

Wanaweza kuwa na majina ya kiume lakini wengine michicha mwiba(huchoma lakini inaliwa).


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Sawa tunaomba tukudangie

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kudanga kwangu hauna hadhi. Sababu ni kama zifuatazo,
1: kama nyie kila siku jf yote ndiyo mnasemwa maana yake nyie ni cheap.
2: kwa maelezo yenu na malalamiko yenu inaonyesha mapapa yenu humu jf ni walezi wa wana.
Mmeigeuza jf kuwa kijiwe cha kupiga uprost... Mimi hamuwezi kunipata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungetaja kijiwe ingenoga kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…