oohh!.. basi endelea kumshawishi kwa mfano tufanye house party wewe na G mimi na Mama Sabrina one night stand!..
Sawa tunaomba tukudangieNani anaajiri wanawake wasio na stara?
Hamjihesimu mtaheshimiwa na nani? Kila siku ni vilingeni tuu kupiga umbea.
Igeni mifano ya wanawake wenzenu humu wanaoficha ujinga wao mbele za watu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi za kujiongezea ujuzi hizoNdo mana vituko vyote sikuweki mbali!.. Unajua kabisa mechi za ugenini lazima nifanye kukaa fiti!..
HaahaàaVipi...Naona wanakuonea hawa watu.
nimeogopa kujibu hiyo miss u G asije nifuata akaniua.
Wanaweza kuwa na majina ya kiume lakini wengine michicha mwiba(huchoma lakini inaliwa).Yaan humu ukiandika mada zenye tija wala hawachangii andika upuuzi ,umbea,udaku watapigiana simu,wataitana mbaya zaidi wanaume ,bora wanawake tunajuanaga ni wambea tunachambana yanaisha,,wanaume ukiwa mbea lazima tukushangae,,kuna wanaume wambeya humu mnapenda kuchunguza mambo hata hayawaingizii pesa yaone kwanza.
Kazi kulalamika wanawake wanapenda pesa kutwa mnakalia umbea mlitaka tupende nini waone
Ila kuna wanaume humu ukibahatisha utakula raha kama nene ,wako positive,waelewa hawapendi umbea utafurahia maisha ,yale mambea sasa heee linataka kujua mama s yupoje ,,oyaaa mi wa kawaida tu mnadhani natoka jupiter ama[emoji57][emoji57] uwe unanijua hunijua hainihusu wala hainitishi humu na siogopi mtu yeyote humu mimi nakaaga kimyaa nikiona yamenishinda nalipuka nalipuka haswa ,eti ooh namjua mama s so whaat ,ukinijua nakuongezea pesa bank ama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mme wangu ananijua zaidii na ni bonge la bwana sio hutaki kunya mtungi wa gesi sio nyie wa...... wa humu ,,
Heko kwa wote mnaonikubali na ninaowakubali pia mbarikiwe mimi sio pesa kusema nipendwe na kila mtu
Acheni umbeya fanyeni kazi mkituiga ambao hatuna kazi mtakufa makalio juu
Mama G
Sent using Jamii Forums mobile app
Kashakupa taraka 2 au bado hata moja!?..
Huwezi kudanga kwangu hauna hadhi. Sababu ni kama zifuatazo,
Hata kama nikimuangalia atakuja sema wengine wote nyani kasoro yeye kwa G sasa wewe malaika katoto kazuri kacheshi kamdoli ufananishwe na nyan kisa dudu ya mtu kweli!!..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Penzi ni upofu
Itapendeza sana!..
si kwa mfano mama!..Mfyuuuuuuu
Hakuna mfano wa hivyosi kwa mfano mama!..
Ungetaja kijiwe ingenoga kweli.Huwezi kudanga kwangu hauna hadhi. Sababu ni kama zifuatazo,
1: kama nyie kila siku jf yote ndiyo mnasemwa maana yake nyie ni cheap.
2: kwa maelezo yenu na malalamiko yenu inaonyesha mapapa yenu humu jf ni walezi wa wana.
Mmeigeuza jf kuwa kijiwe cha kupiga uprost... Mimi hamuwezi kunipata.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hata kama nikimuangalia atakuja sema wengine wote nyani kasoro yeye kwa G sasa wewe malaika katoto kazuri kacheshi kamdoli ufananishwe na nyan kisa dudu ya mtu kweli!!..
siku hizi nacheza mbili nje 3 ntacheza ndani!..Mechi za kujiongezea ujuzi hizo
Ukimuona mpenzi usisahau kuniitaMie natamani tu nimuone G
Hayo mengine
Sms sent and delivered
[emoji252] [emoji479]
Huo ndio uanaume babysiku hizi nacheza mbili nje 3 ntacheza ndani!..
Nitatuma sceeenshot na picha yakeUkimuona mpenzi usisahau kuniita
[emoji23][emoji23][emoji23] Sawa babeNitatuma sceeenshot na picha yake
[emoji252] [emoji479]