Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Yaan humu ukiandika mada zenye tija wala hawachangii andika upuuzi ,umbea,udaku watapigiana simu,wataitana mbaya zaidi wanaume ,bora wanawake tunajuanaga ni wambea tunachambana yanaisha,,wanaume ukiwa mbea lazima tukushangae,,kuna wanaume wambeya humu mnapenda kuchunguza mambo hata hayawaingizii pesa yaone kwanza.
Kazi kulalamika wanawake wanapenda pesa kutwa mnakalia umbea mlitaka tupende nini waone
Ila kuna wanaume humu ukibahatisha utakula raha kama nene ,wako positive,waelewa hawapendi umbea utafurahia maisha ,yale mambea sasa heee linataka kujua mama s yupoje ,,oyaaa mi wa kawaida tu mnadhani natoka jupiter ama[emoji57][emoji57] uwe unanijua hunijua hainihusu wala hainitishi humu na siogopi mtu yeyote humu mimi nakaaga kimyaa nikiona yamenishinda nalipuka nalipuka haswa ,eti ooh namjua mama s so whaat ,ukinijua nakuongezea pesa bank ama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mme wangu ananijua zaidii na ni bonge la bwana sio hutaki kunya mtungi wa gesi sio nyie wa...... wa humu ,,
Heko kwa wote mnaonikubali na ninaowakubali pia mbarikiwe mimi sio pesa kusema nipendwe na kila mtu
Acheni umbeya fanyeni kazi mkituiga ambao hatuna kazi mtakufa makalio juu
Mama G
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi kulalamika wanawake wanapenda pesa kutwa mnakalia umbea mlitaka tupende nini waone
Ila kuna wanaume humu ukibahatisha utakula raha kama nene ,wako positive,waelewa hawapendi umbea utafurahia maisha ,yale mambea sasa heee linataka kujua mama s yupoje ,,oyaaa mi wa kawaida tu mnadhani natoka jupiter ama[emoji57][emoji57] uwe unanijua hunijua hainihusu wala hainitishi humu na siogopi mtu yeyote humu mimi nakaaga kimyaa nikiona yamenishinda nalipuka nalipuka haswa ,eti ooh namjua mama s so whaat ,ukinijua nakuongezea pesa bank ama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mme wangu ananijua zaidii na ni bonge la bwana sio hutaki kunya mtungi wa gesi sio nyie wa...... wa humu ,,
Heko kwa wote mnaonikubali na ninaowakubali pia mbarikiwe mimi sio pesa kusema nipendwe na kila mtu
Acheni umbeya fanyeni kazi mkituiga ambao hatuna kazi mtakufa makalio juu
Mama G
Sent using Jamii Forums mobile app