Watu wa Kanda ya Ziwa punguzeni au acheni utaratibu wa kuchanja chale

Watu wa Kanda ya Ziwa punguzeni au acheni utaratibu wa kuchanja chale

Wengine isingekuwa hizo Chale tungekuwa tulisha kufa,hapa nina hilizi inapumia na juu yake nimeweka vichale vyenye dawa fulani.
 
Habari wakuu,

Hivi hakuna mbadala wa hizo chale, tumieni hata sindano kama lengo ni kuchanja ili dawa iingie, au kuna lingine tofauti na dawa hadi iwe kwa kuchanja na nyembe na vitu vingine vyenye ncha kali ambavyo vinaacha alama kubwa?

Nmekutana na baadhi ya watu kutoka kanda hizo wamejaa chale za kutosha maeneo tofauti tofauti ya mwili, wengine hadi wanajishtukia hawajiamini mfano ni huyu msukuma hajiamini kabisa zinamnyima raha, kujitetea kwingi kuwa kwao sio wachawi na ameshajua fika nitamuacha kwa sababu ya hayo makovu ya chale.

Kwa sababu huu utaratibu umekithiri sana kanda hiyo jaribuni kupunguza au kuacha kama inawezekana.

NAWASILISHA.
Kanda ya ziwa kubwa,be specific..
 
Wengi hufanyiwa hivyo utotoni hawatambui hata ni nini kinachoendelea.
Zamani nilikuwa nasumbuliwa sana na kichwa akaletwa mtu nyumbani ili nipone natakiwa nipigwe chale kwenye paji la uso,Ilipo fika mda wa kuchanjwa nilitimua mbio na zoezi likaishia hapo.
 
Habari wakuu,

Hivi hakuna mbadala wa hizo chale, tumieni hata sindano kama lengo ni kuchanja ili dawa iingie, au kuna lingine tofauti na dawa hadi iwe kwa kuchanja na nyembe na vitu vingine vyenye ncha kali ambavyo vinaacha alama kubwa?

Nmekutana na baadhi ya watu kutoka kanda hizo wamejaa chale za kutosha maeneo tofauti tofauti ya mwili, wengine hadi wanajishtukia hawajiamini mfano ni huyu msukuma hajiamini kabisa zinamnyima raha, kujitetea kwingi kuwa kwao sio wachawi na ameshajua fika nitamuacha kwa sababu ya hayo makovu ya chale.

Kwa sababu huu utaratibu umekithiri sana kanda hiyo jaribuni kupunguza au kuacha kama inawezekana.

NAWASILISHA.
Utamaduni mkuu kila jamii ina mambo yake
 
Zamani nilikuwa nasumbuliwa sana na kichwa akaletwa mtu nyumbani ili nipone natakiwa nipigwe chale kwenye paji la uso,Ilipo fika mda wa kuchanjwa nilitimua mbio na zoezi likaishia hapo.
😂 na kichwa kikapona?
 
Back
Top Bottom