thundercat8
Senior Member
- Nov 25, 2015
- 172
- 384
Yanini kununua vita na miungu ya watuUnapiga chini mapema kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanini kununua vita na miungu ya watuUnapiga chini mapema kabisa.
Yanini kununua vita na miungi ya watuUnapiga chini mapema kabisa.
Hakuna haja hiyo mkuu kama kuepuka mapema inawezekana.Yanini kununua vita na miungi ya watu
Hao watu ambao hawajastarabika wanajulikana kabisa ni WASUKUMA,sasa kwa nini kutuingiza kanda ya ziwa wote.narudia!! hii kanda yote ni takataka watu wote wasiostaarabika wanatokea huku.
Kanda ya ziwa kubwa,be specific..Habari wakuu,
Hivi hakuna mbadala wa hizo chale, tumieni hata sindano kama lengo ni kuchanja ili dawa iingie, au kuna lingine tofauti na dawa hadi iwe kwa kuchanja na nyembe na vitu vingine vyenye ncha kali ambavyo vinaacha alama kubwa?
Nmekutana na baadhi ya watu kutoka kanda hizo wamejaa chale za kutosha maeneo tofauti tofauti ya mwili, wengine hadi wanajishtukia hawajiamini mfano ni huyu msukuma hajiamini kabisa zinamnyima raha, kujitetea kwingi kuwa kwao sio wachawi na ameshajua fika nitamuacha kwa sababu ya hayo makovu ya chale.
Kwa sababu huu utaratibu umekithiri sana kanda hiyo jaribuni kupunguza au kuacha kama inawezekana.
NAWASILISHA.
Yote mkuuKanda ya ziwa kubwa,be specific..
Wengi hufanyiwa hivyo utotoni hawatambui hata ni nini kinachoendelea.Wana moyo kiwembe ninavyo kiogopa kipite kwenye ngozi yangu
Zamani nilikuwa nasumbuliwa sana na kichwa akaletwa mtu nyumbani ili nipone natakiwa nipigwe chale kwenye paji la uso,Ilipo fika mda wa kuchanjwa nilitimua mbio na zoezi likaishia hapo.Wengi hufanyiwa hivyo utotoni hawatambui hata ni nini kinachoendelea.
Utamaduni mkuu kila jamii ina mambo yakeHabari wakuu,
Hivi hakuna mbadala wa hizo chale, tumieni hata sindano kama lengo ni kuchanja ili dawa iingie, au kuna lingine tofauti na dawa hadi iwe kwa kuchanja na nyembe na vitu vingine vyenye ncha kali ambavyo vinaacha alama kubwa?
Nmekutana na baadhi ya watu kutoka kanda hizo wamejaa chale za kutosha maeneo tofauti tofauti ya mwili, wengine hadi wanajishtukia hawajiamini mfano ni huyu msukuma hajiamini kabisa zinamnyima raha, kujitetea kwingi kuwa kwao sio wachawi na ameshajua fika nitamuacha kwa sababu ya hayo makovu ya chale.
Kwa sababu huu utaratibu umekithiri sana kanda hiyo jaribuni kupunguza au kuacha kama inawezekana.
NAWASILISHA.
😂 na kichwa kikapona?Zamani nilikuwa nasumbuliwa sana na kichwa akaletwa mtu nyumbani ili nipone natakiwa nipigwe chale kwenye paji la uso,Ilipo fika mda wa kuchanjwa nilitimua mbio na zoezi likaishia hapo.
Mbona nimetokea moja ya mkoa unaopatikana uko na sina hata chale ya kusingiziwa?Yote mkuu
Ni kweli mkuu ila idadi ya chale zipungue hasa baadhi ya maeneo kama kifuani na tumboni.Utamaduni mkuu kila jamii ina mambo yake
Sio lazima wote muwe nazo ila kanda hiyo wengi wanazo hasa wanaotokea ndani ndani huko. Nna jamaa yangu ana mwanae wa kike kashamtia alama ya chale usoni.Mbona nimetokea moja ya mkoa unaopatikana uko na sina hata chale ya kusingiziwa?
Wamekusikia mkuu 😂😂😂Ni kweli mkuu ila idadi ya chale zipungue hasa baadhi ya maeneo kama kifuani na tumboni.
Ndio kilipona baada ya miaka 2 baadae tena bila dawa yoyote 😀😀😀😂 na kichwa kikapona?
Ili iweje? Au ndio upate begi la pesaMi mwenyewe nataka nikachanje mwili mzima