Watu wa Kaskazini watoka kifungoni; Moshi na Arusha zarejea kwenye hadhi tuliyozoea kabla ya 2016. Watu wanashangweka ile ile!

Watu wa Kaskazini watoka kifungoni; Moshi na Arusha zarejea kwenye hadhi tuliyozoea kabla ya 2016. Watu wanashangweka ile ile!

Baada ya akina Gambo, Sabaya, Mneti, Muro, na viongozi wengine kutowesha amani na furaha ya Xmas Kaskazini kwa kisingizio cha kulinda amani na kuepusha vurugu hatimaye mwaka huu tunaona Ndugu zetu kwa mara nyingine wakirejea makwao Kwa furaha huku biashara zikipamba moto.

Ni kama wamepata Uhuru ulioibwa na baadhi ya watu walioaminishwa kwamba ukanda flani ni watu wasiopaswa kufurahi huku hata biashara zikitakiwa zimilikiwe na watu wa mrengo flani tu na ukitaka kufungua biashara ukiwa na mrengo tofauti basi utafilisiwa au kufanywa vyoVyote uondoke sokoni.

Nimpongeze Mama kwa kufuta ukiritimba wa akina Sabaya na akina Jeryy Muro na vikosi vyao, nimwombe atuwekee utaratibu mzuri wa kikatiba utakaozuia yaliyopita yasijirudie tena.

Akina Manka kuleni maisha msiwasikilize wasiojua kutafuta, msiwasikilize wasiopenda kwao, msiwasikilize akina ishomire tunaokimbia makwetu na kuja kuwekwa lockdown huko Kwa watu. Vibe la Moshi lafaa kusindikizwa na bia tamu
Weka picha
 
Hao wengine hata kwao wanaenda hata hela hawana. Anafika siku ya kwanza sikuya tatu tu hata nauli ya kurudi hawana😅😅😅
Wengine kesho wapo barabarani wanarudi chap. Mwenye hela tusubiriane mpaka January sio mtu anakuja Xmas halafu anadandia fuso.
 
Mtu kwenda kwao isiwe ishu kwamba ni kitu kipya maana kila mtanzania ana kwao na wanaendaga pia sema wao hawaendi kwa mkupuo kwa muda fulani kama ambavyo watu wa kaskazini tunafanya.

Hii maneno ya madharau isiwe Sasa kwamba watu hawana kwao hata kama ni vijijini na hii ndio ilisababisha Magufuli aliweka jealous sana na kuona kila mwenye pesa ni mwizi au kila anayeamua kula raha basi ni mwizi tu sababu kubwa ni wengi wakiwa na hela wanaanza kuletea madharau wengine na majigambo yasiyo na msingi, sasa isisababishe atokee mwingine akachukia hii madharau.

Kumbuka hao tunaowaletea madharau ndio wateja wetu madukani wakiamua hawanunui bidhaa kwetu itakuwa shida wakiamua wanunue wao kwa wao Kama wanavyofanya wakinga na wahindi.

Mkataa kwao mtumwa, naamini kama watu wa kaskazini ndio utaratibu wetu basi tusiwadharau wengine hata kama ndio tunajua kusaka pesa Iau tunaamini hivyo la kila mtu amekuja mjini kusaka pesa ndio maana wakinga na wanyakyusa, wasukuma na wahaya wapo kimya tu nao Wana hela kibao tu na wakiamua kujiorganise kama ambavyo ilivyo pale Kariakoo sijui tutakimbilia wapi.
Mchaga mwenye akili zake timamu ndio wewe baada ya marehemu Mengi, mwana FA ameshauri kwenye nyimbo tafuta pesa ila usipige nazo picha…. Wachaga wengi ni wapiga picha na hela ukitizama matukio yao hasa wakati huu wa sikukuu za kufunga mwaka.

Ni vigumu sana kuwaona wahindi ambao ndio jamii tajiri zaidi hapa Tz lakini kama ulivyosema wako very humble, kina Mo utawaona zaidi wakipost yatima, wahitaji kama ilivyokuwa enzi za mzee Mengi. Ile mjengo alijengewa mama mapacha wa Mengi ingekuwa ni mchaga ordinary tungeanza kuonyeshwa kuanzia kiwanja, msingi, beam zikifungwa lkini ajabu tumekuja jua baada ya mchaga special kuenda zake.
 
Tabia ya Wachaga ni kama movement ya Wanyama wa Serengeti au Masai-Mara
 
Mtu kwenda kwao isiwe ishu kwamba ni kitu kipya maana kila mtanzania ana kwao na wanaendaga pia sema wao hawaendi kwa mkupuo kwa muda fulani kama ambavyo watu wa kaskazini tunafanya.

Hii maneno ya madharau isiwe Sasa kwamba watu hawana kwao hata kama ni vijijini na hii ndio ilisababisha Magufuli aliweka jealous sana na kuona kila mwenye pesa ni mwizi au kila anayeamua kula raha basi ni mwizi tu sababu kubwa ni wengi wakiwa na hela wanaanza kuletea madharau wengine na majigambo yasiyo na msingi, sasa isisababishe atokee mwingine akachukia hii madharau.

Kumbuka hao tunaowaletea madharau ndio wateja wetu madukani wakiamua hawanunui bidhaa kwetu itakuwa shida wakiamua wanunue wao kwa wao Kama wanavyofanya wakinga na wahindi.

Mkataa kwao mtumwa, naamini kama watu wa kaskazini ndio utaratibu wetu basi tusiwadharau wengine hata kama ndio tunajua kusaka pesa Iau tunaamini hivyo la kila mtu amekuja mjini kusaka pesa ndio maana wakinga na wanyakyusa, wasukuma na wahaya wapo kimya tu nao Wana hela kibao tu na wakiamua kujiorganise kama ambavyo ilivyo pale Kariakoo sijui tutakimbilia wapi.
Yani watu wa kaskazini kwenda kwao unasema ndio wanadharau watu?
Mbona hujiamini na umejawa na inferiority complex kiasi hicho.
 
Wakilimanjaro ulimbukeni hautawaisha, yaani kama ni utamaduni wenu iweje Leo iwe kitu kigeni? Kweli ushamba hauna bei
Yaani hawa ni wajinga kweli! Yaani nyinyi ndo unajua kutafuta kuliko wenginie! Endeleeni na utaahira wenu wa kuvywa mbege!
 
sitanunua chochote kwa mchaga, na eneo nilipo huo ndo msimamo wetu.


wachaga wengi wenu ni wakabila na wapumbavu sana.


nilishaapa ndugu yangu akioa mchaga sitaenda kwake na hata yeye kwangu sitapenda aje na huyo hawala yake na ninayo furaha kuzuia ndoa ya mtanzani lichaga la kike.
 
Baada ya akina Gambo, Sabaya, Mneti, Muro, na viongozi wengine kutowesha amani na furaha ya Xmas Kaskazini kwa kisingizio cha kulinda amani na kuepusha vurugu hatimaye mwaka huu tunaona Ndugu zetu kwa mara nyingine wakirejea makwao Kwa furaha huku biashara zikipamba moto.

Ni kama wamepata Uhuru ulioibwa na baadhi ya watu walioaminishwa kwamba ukanda flani ni watu wasiopaswa kufurahi huku hata biashara zikitakiwa zimilikiwe na watu wa mrengo flani tu na ukitaka kufungua biashara ukiwa na mrengo tofauti basi utafilisiwa au kufanywa vyoVyote uondoke sokoni.

Nimpongeze Mama kwa kufuta ukiritimba wa akina Sabaya na akina Jeryy Muro na vikosi vyao, nimwombe atuwekee utaratibu mzuri wa kikatiba utakaozuia yaliyopita yasijirudie tena.

Akina Manka kuleni maisha msiwasikilize wasiojua kutafuta, msiwasikilize wasiopenda kwao, msiwasikilize akina ishomire tunaokimbia makwetu na kuja kuwekwa lockdown huko Kwa watu. Vibe la Moshi lafaa kusindikizwa na bia tamu
Unachochea chuki za ukanda. Wewe ni hatari kwa usalama wa nchi yetu.
 
Yani watu wa kaskazini kwenda kwao unasema ndio wanadharau watu?
Mbona hujiamini na umejawa na inferiority complex kiasi hicho.
Soma niliyekuwa namjibu maana nami ni wa kaskazini pia. Au ushapiga banana?
 
Mchaga mwenye akili zake timamu ndio wewe baada ya marehemu Mengi, mwana FA ameshauri kwenye nyimbo tafuta pesa ila usipige nazo picha…. Wachaga wengi ni wapiga picha na hela ukitizama matukio yao hasa wakati huu wa sikukuu za kufunga mwaka.

Ni vigumu sana kuwaona wahindi ambao ndio jamii tajiri zaidi hapa Tz lakini kama ulivyosema wako very humble, kina Mo utawaona zaidi wakipost yatima, wahitaji kama ilivyokuwa enzi za mzee Mengi. Ile mjengo alijengewa mama mapacha wa Mengi ingekuwa ni mchaga ordinary tungeanza kuonyeshwa kuanzia kiwanja, msingi, beam zikifungwa lkini ajabu tumekuja jua baada ya mchaga special kuenda zake.
Unajua hata jamii ya wapemba na wazanzibar huwa lazima kipindi Cha sikukuu especially za kidini nao henda makwao na boat huwa shida kupata nafasi kama hujakata ticket mapema .

Jamii za wahindi nao wakati wa sherehe za Diwali wengi huondoka nchini kwenda kujumuika na ndugu zao.

Kiuhalisia Moshi jamii kubwa ni wakristo hivyo imekuwa utaratibu wa kukutana wakati huu wa sikukuu especially mwisho wa mwaka ili kuweza kusherehekea pamoja na kujadili masuala mbalimbali ya kifamilia ikiwemo changamoto tunazopata na kuangalia namna ya kusaidiana.

Sasa huu utaratibu ni ngumu kwa baadhi ya jamii sababu kuu ni mchamganyiko wa dini pia, unakuta familia ni moja Ila dini tofauti hivyo wakati wengine wanashangilia Xmas wengine wanasubiri Eid hivyo huwa ngumu kidogo tofauti na huku kaskazini ambako jamii kubwa ukristo umetawala hivyo huwa rahisi.

Ni sawa na Pemba na Unguja Nako wakati wa sikukuu ya Eid huwa hivyo hivyo, Mara nyingi hizi siku za holiday watu huzitumia kukutana ndugu na marafiki Ila mostly zile jamii zenye kuabudu dini moja.

Sasa hii ya watu kuwasema wengine kwamba hawaendi kwao sio sahihi pia ukiona umepata bahati ya kuwa dini moja kama wapemba na watu wa kaskazini ni jambo la kushukuru Mungu kwakuwa mnajikuta kipindi cha sikukuu mnakuwa mnasherehekea pamoja hivyo huweza kuwakutanisha pamoja.

Kuhusu pesa aisee kila jamii Wana pesa labda watu hawajakutana na wasukuma au wakinga au watu wa kigoma, Wana pesa na wapo kimya tu .

Mwisho wa siku ndio nachosema, ukiketa mbwembwe sana kumbuka wateja wako wanatoka kwa haohao unaowaletea mbwembwe sema wao wanaamua kunyamaza tu Ila nao wakiamua wasinunue kwako hutoki hapa mjini salama.

Tunategemea a kama jamii. Utamaduni fulani usionekane ni wa maana kushinda mwingine, hii ndio ukifanya wazungu wachukiwe na jamii nyingine sababu ya kujiona wao ni Bora kushinda wengine, kila tamaduni ziheshimiwe.

Karibuni Shanty town .
 
Soma niliyekuwa namjibu maana nami ni wa kaskazini pia. Au ushapiga banana?
Kwa ulivo jibu wewe ni shomile tu, eti watu kwenda huko ni kuringa na kudharau wengine mara mbona wahaya sijui nini?
 
Kwa ulivo jibu wewe ni shomile tu, eti watu kwenda huko ni kuringa na kudharau wengine mara mbona wahaya sijui nini?
Wewe ni mpumbavu nilikuwa nakuona wa maana, hakuna mchaga mjinga Kama wewe. Either umeolewa kwetu unajifanya unapajua sana. Stupid,
 
Hala hala matambiko nk..Bwana you malangoni anakuja kuchuka walio wake...otherwise happy Christmas & new year Kiborilony..Tella.. Mbokomu.. Msaranga... Kidia .. @ Useri kncu
 
Back
Top Bottom