Watu wa Kilimanjaro, Arusha na Manyara warudisha imani kwa CCM

Watu wa Kilimanjaro, Arusha na Manyara warudisha imani kwa CCM

Na wamerudisha kweli kweli Mwaka huu ni mwaka wa CHADEMA kuumia kila kona. Hongera JPM tunakupa kura zetu tena
Wana Kilimanjaro wamegundua kwamba chadema kushika dola inahitaji miaka 50 kwa maana nyingine kutoipigia CCM watakaa nje ya vyombo muhimu vya maamuzi ya nchi. Ubaguzi umejaa chadema, wanaojitambua wametoroka na kwenda CCM
 
Wewe Bwege ungetuambia ni kwanini walipoteza imani na hayo maccm.
 
Wewe Bwege ungetuambia ni kwanini walipoteza imani na hayo maccm.
2015 Walimfuata lowassa na ukumbuke lema alishindwa kuzindua kampeni hadi lowassa alipofika.

Mwaka huu Lowassa kabaki CCM Lema amekosa mwana Kaskazini wa kumfungulia kampeni
 
Chini ya Lema Arusha imekosa mikutano mingi sana ya kimataifa ambayo ilihamishiwa Julius Nyerere International Conference baada ya mji kugeuka kitovu cha maandamano, Lema ametugharimu Sana kwa faida ya mshahara wake wa mwezi.

Watu wa Arusha ili kurejesha heshima ya mkoa wetu tumkatae Lema na mambo yake yote maovu, tuurejeshe uchumi na heshima ya mkoa wetu.
 
Chini ya Lema Arusha imekosa mikutano mingi sana ya kimataifa ambayo ilihamishiwa Julius Nyerere International Conference baada ya mji kugeuka kitovu cha maandamano, Lema ametugharimu Sana kwa faida ya mshahara wake wa mwezi,

Watu wa Arusha ili kurejesha heshima ya mkoa wetu tumkatae Lema na mambo yake yote maovu, tuurejeshe uchumi na heshima ya mkoa wetu.
Sio kweli,kipindi cha kikwete alipeleka mikutano yote ya kimataifa Bagamoyo na Dar ili kuinua uchumi Wa kwao.
Mbona utalii haukufa kama Lema ndio alikiwa kisababishi.
 
Miaka zaidi ya 30 treni ilijifia kifo cha mende leo hii dude linanguruma viunga vya krokoni na kuleta neema kwa wafanyabiashara wadogo waliopo krokoni na kilombero
Hakuna kitu hapo tuache kupanda kitu cha mchina au cha mswidish tukapande hilo gogo lenu. Mie niko moshi huku vijijini magu hana chake bora tuvumilie mitano kuliko kumpigia kura huyo mbaguzi mkubwa

Kula CCM alafu Kura kwa TL chuma cha reli✌️✌️✌️✌️
 
Sio kweli,kipindi cha kikwete alipeleka mikutano yote ya kimataifa Bagamoyo na Dar ili kuinua uchumi Wa kwao.
Mbona utalii haukufa kama Lema ndio alikiwa kisababishi.
Huwezi ukafahamu kila kitu mkuu,

Kipindi hicho cha kikwete ndio kwanza maandamano yanayoasisiwa na huyo Lema yalikuwa yameshika hatamu,

Ilikuwa aibu kwa Taifa kualika wageni wakati mambo ya kihuni yakifanyika,

Ndio maana Arusha ikakosa mikutano ya kimataifa, JNIC ikashika hatamu, Lema akawa kiongozi wa genge la wahuni, Arusha ikadidimia kiuchumi.

Madhara ya siasa za kitoto za Lema kwa Uchumi wa Arusha hayaelezeki.

Toa Lema, Rudisha hadhi ya Arusha.
 
Haya mambo ukiyaangalia kwa jicho hilo utakuwa kipofu. Kama upepo umebadilika kweli mbona hakuna aliyerudisha kadi?

Hawa jamaa wanaongeza mke, ila mke mkubwa hajaachwaa!
 
Karatu tangu enzi za chama kimoja walikua wanachagua kivuli kwny karatasi za kupigia kura.
 
Back
Top Bottom